mimi nakaa kigamboni sababu kubwa ya watu kutumia kivuko badala ya daraja ni umbali wa jaraja lilipo na miundo mbinu ya upande wa pili wa daraja(kigamboni)uko kwenye matengenezo bado so kuna usumbufu watu wanaukwepa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.