Recent content by Chief_mataka

  1. Chief_mataka

    Nishauri jambo kuhusu QT

    Sio QT ni PC ,QT ni mwanafunzi anayerudia masomo ya kidato cha pili,anapaswa kujisajili kama PC na asajili masomo mawili KEMIA NA FIZIKIA tu kupunguza mzigo kama BIOLOGY alifaulu aachane nayo atajiongezea mzigo,akifaulu ataunganisha namba zake kuomba chuo .
  2. Chief_mataka

    Msaada: Chuo Kikuu Mbeya (MUST) kinatoa kozi ya Bachelor of Medical Laboratory Science & Technology

    Hapana, ukimaliza unakuwa Mtaalamu wa maabara za viwandani, sasa je utaweza kujenga kiwanda?
  3. Chief_mataka

    Msaada: Nimeomba 'Control Number' NACTE ya kulipia 10,000 badala ya 30,000. Sifahamu namna ya ku-cancel nianze upya

    Hakuna Control number ya 30k ,unaomba control number kwa kila chuo unachoomba unalipia 10k ,ila ikishafikia 30k hapo utakuwa na uwezo wa kuongeza vyuo utavyotaka hadi 12 kwa iyo iyo 30k
  4. Chief_mataka

    Diploma in science and laboratory technology

    Kujiajiri utajiajiri vipi?? ,Utafungua kiwanda au shule?? Iyo kozi ni lazima utafute ajira, Ajira zipo japo lazima CONNECTION sababu kuomba kazi viwandani bila SUPPORT sidhani kama unatoboa, kuna jamaa angu kaunganishwa na mtu saivi anakula maisha kiwanda cha MTIBWA SUGAR .
  5. Chief_mataka

    Nataka kusoma Clinical Medicine. Je, hali ya ajira ikoje?

    Chuo gani hiko braza, nipo ST BHAKITA hapa RUKWA ukipata chini ya 50 tu, unarudia mwaka, kubebaaa?
  6. Chief_mataka

    Naomba ufafanuzi kuhusu elimu ya kitabibu

    Kutokana na ufaulu wake ni Pharmaceutical Science Tu Ndio Anaweza kusoma ,Vyuo Viko Vingi Karibia Kila Mkoa Sijui Wewe Unataka Asomee Mkoa Gani.
  7. Chief_mataka

    Dawa hizi zinaponesha fangasi?

    Hizo ni Antibiotic, zitatibu vipi fungus, sorry sijajibu swali.
  8. Chief_mataka

    Msaada: Matokeo yatu hayaonekani NACTE. Tuchukue hatua gani?

    Kwa uzoefu wangu, shida iko chuoni na wala Sio nacte, mambo ya kukosa matokeo au namba ya mtihani ni ishu za chuo, kuna mawili ni uzembe wa chuo au ujuaji wa wanafunzi (UKIJIFANYA MJUAJI SANA CHUONI WALIMU WANAKUKOMOA TU ) ,namna ya kulitatua mkamshike mkono mwalimu mmoja kwa siri atawasaidia...
  9. Chief_mataka

    Kupotea kwa cheti cha kidato cha Nne (CSEE)

    Utaratibu ni mrefu sana, iko hivi ,unatakiwa uende polisi ukatoe maelezo namna cheti kilivyopotea, wao watakupa fomu fulani, baada ya polisi unatakiwa utoe tangazo kwenye gazeti, baada ya hapo ingia Kwenye mfumo wa necta kuna sehemu ya kuomba cheti kipya, ukifika iyo sehemu watadai uwatumie ile...
  10. Chief_mataka

    Ijue kozi ya Diploma in Diagnostic Radiography (DDR)

    Msisahau BENJAMIN MKAPA INSTITUTE DODOMA wanatoa pia
  11. Chief_mataka

    Kulikoni matokeo kidato Cha nne kuchelewa kutangazwa

    Mwaka jana yalitoka tarehe kama ya leo tar 15/01 unasemaje ya mwaka huu yanachelewa kulinganisha na mwaka jana?
Back
Top Bottom