moud.com New Member Jul 22, 2015 4 0 Mar 21, 2023 #1 Nina mdogo wangu amehitim kidato cha nne amepata division four ya 27. CIV - D HIST - D GEO - D E/D/KIISLAMU - D KISW - C ENGL - D CHEM - D BIO - D B/MATH - F Kwa alama hizo anaweza kusoma kozi gani ya maswala ya kitababi na ni chuo gani kizuri cha serikali?
Nina mdogo wangu amehitim kidato cha nne amepata division four ya 27. CIV - D HIST - D GEO - D E/D/KIISLAMU - D KISW - C ENGL - D CHEM - D BIO - D B/MATH - F Kwa alama hizo anaweza kusoma kozi gani ya maswala ya kitababi na ni chuo gani kizuri cha serikali?
Dr Matola PhD JF-Expert Member Oct 18, 2010 56,608 93,380 Mar 21, 2023 #2 Ni Kwa nini mathematics ni some wanafunzi wengi wanafeli? Shida iko wapi?
Chief_mataka Member Jan 27, 2022 97 92 Mar 22, 2023 #4 Kutokana na ufaulu wake ni Pharmaceutical Science Tu Ndio Anaweza kusoma ,Vyuo Viko Vingi Karibia Kila Mkoa Sijui Wewe Unataka Asomee Mkoa Gani.
Kutokana na ufaulu wake ni Pharmaceutical Science Tu Ndio Anaweza kusoma ,Vyuo Viko Vingi Karibia Kila Mkoa Sijui Wewe Unataka Asomee Mkoa Gani.
jiwe angavu JF-Expert Member Aug 28, 2015 19,127 35,985 Mar 22, 2023 #5 Afya hawapokei mtu asiye na physics
KIDUME20 JF-Expert Member Mar 10, 2023 1,954 4,511 Mar 22, 2023 #6 Dr Matola PhD said: Ni Kwa nini mathematics ni some wanafunzi wengi wanafeli? Shida iko wapi? Click to expand... Bora hawa mkuuu 2021 81% ya wanFunzi walipiga F mkuuu 😕😅
Dr Matola PhD said: Ni Kwa nini mathematics ni some wanafunzi wengi wanafeli? Shida iko wapi? Click to expand... Bora hawa mkuuu 2021 81% ya wanFunzi walipiga F mkuuu 😕😅