Mkuu hayo ni mambo ya kabisa katoliki, ukiona kabisa Linaitwa parokia ya mtakatifu "yuda thadei" ujue Kuna mifupa ya huyo mtakatifu altareni, huo ni upagani kama upagani mwingine eg kuombea wafu,kuabudu sanamu nk..
Kuna vingi vinafanyika kinyume na biblia,
Mkuu una bahati sana kupata mwanamke mkimya huyo oa fasta, hawa chiriku wanaumiza vichwa sana, wanaongea mpaka kero.. kifupi wanaongea kama wamemeza flash, Kuna maneno wanaongea yanachoma kama pasi, ukimuacha huyo utakujuta sana, au niunganishie mm
Kwahiyo na huko dar watu waarusha wameshaleta ukabila kwenye biashara? Maana wamejaa huko!
Mbona Kuna watu kibao wameingia Arusha hawana kitu na wamekuwa mamilionea, au mnazungumzia biashara za kioski?
Nyumba ya vyumba vitatu Arusha kwa 150,000 hata nduruma huipati mkuu
Inawezekana ulikuja Arusha ukitegemea kutoboa kibiashara kirahisi, biashara hauko hivyo, biashara zina changamoto popote uendapo, pambana mkuu acha kulalama mitandaoni
Umeongea uongo mwingi sana, kwamba mji wenye wakazi zaidi ya Million 1.5 biashara ifanyike kwa kujuana tu, labda inategemea na biashara unayofanya mkuu, kuhusu uchafu, Kuna mji mchafu kama dar?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.