Mimi nadhani wewe wakati unaandika hii habari ulikuwa chooni unajisaidia hatujui kama akili yako ipo sawa Yo Yo na inawezekana na wewe ni miongoni mwa wanaotafuna nchi hii kafikirie kwanza au kamuulize mama na baba yako aliyekuzaa unatia kichefuchefu
ndugu yangu uwe unazingatia tangazo la kazi linasemaje uliambiwa baada ya deadline hesabu wiki mbili zikipita hujaitwa ujue hukufikia vigezo vyao pole leo wiki ya nne toka deadline
Kama nilivyosema kiingilio pale ni TZS 50000 na ushuru wa kila Ijumaa ya wiki TZS 5000 sasa hapa kweli serikali husika watatoa tamko lolote? Jamani hawa viongozi sijui wanatumia nini kufikiri
Nimekuwa nikifuatilia shughuli zinazoendelea hapa Mwenge stendi ya Daladala cha kushangaza naona hata viongozi wako kimya niliongea na kijana mmoja mfanyabiashara akiwa amebeba meza yake ya biashara kichwani akasema mbona viongozi wa manispaa wanajua maana ukitaka upate sehemu ya kuweka angalau...
Ndugu yangu nakumbuka mwezi wa tano 2012 walitangaza nafasi zaidi ya elfu mbili ktk vitengo mbalimbali kukiwemo SIDO,NEMC n.k lakini inashangaza sana kuona wanaendelea kuinterview nafasi za hivi punde hizo zingine vp au ndo kama ulivyosema watu wameshaajiriwa kimya kimya?
Nimeanza na swali nikiwa sielewi maana halisi ya Umoja Wa wanawake Tanzania hasa ukuzingatia muda tulio nao kwa sasa tupo kwenye vyama vingi lakini cha kushangaza mama zetu ukiangalia siku ya uchaguzi wao walivalia nguo zenye rangi ya chama cha CCM yaani kijani na njano wengine mnaweza mkaleta...
A wapi danganya wana ccm wenzako wenye akili kama zako hatima yenu iko ukingoni hakuna cha raisi bora analea mafisadi wenzake na kuingia kwenye kumi bora ni danganya toto ili waendelee kuchota rasilimali zetu nakushangaa sana ndugu yangu wewe unaishi Tanzania ipi huoni,husikii yanayoendelea? Na...
E bwana du inatia huruma sana acha malipo mengine Mungu atatulipa hapa hapa hapa duniani huo mkutano wa ccm and nyanya yake cuf utadhani wa ukoo Mungu saidia watu wako wakielewe vyema cdm
:smash:
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.