Ukishafikia cheo alichofikia marehemu basi hadi siku unajufa unakuwa ni mtu wa serikali, mtu wa JWTZ.
Hapo ilikuea lazima mheshimiwa Raisi aende kama Amiri jeshi mkuu na sio sababu ya kiongozi wa KUB Mh. Freeman Mbowe.
Kuuliza ni makosa?
Ktk bandiko kuna NCCR na NSSR.
Mimi naijua NCCR ndio nikauliza NSSR ni chama gani? Huenda ni kipya sina taarifa.
BTW, Kuchangia tafsiri ya gender kwenye ile topic haimaanishi mimi ni muangaliaji wa porn mzuri.
Tukiwa University mwaka wa kwanza kama sikosei tulisoma hiyo mada...
Wajasiriamali wenye viwanda vidogo nilivyo gusia juu ndio wakombozi kwa maeneo ambayo wawekezaji wakubwa hawawezi kwenda kujenga viwanda kutokana na uzalishaji wa wakulima wadowadogo kuto kidhi mahitaji ya kiwanda kikubwa.
Hao wakubwa wanakwepa hasara miezi ambayo watakosa malighafi(mazao)...
Kilio changu bank ya maendeleo ya kilimo TADB wapokee dhamana ya hati ya shamba hata kama
(1) Shamba atakalo lima mkulima lipo mkoa tofauti na shamba analowekea dhamana ya mkopo.
(2) Shamba linalotumika kama dhamana halina nyumba.Hili shariti sio lenye tija.
Kwanini namba 1.
Mtu anaweza kuwa...
Kupunguza unene,uzito, cholestrol, sukari ya ziada mwilini.
Hupunguza na kukukinga dhidi ya matatizo mengi ya magonjwa ya moyo.
Kinga dhidi ya saratani.
Kuimarisha mifupa.
Kufanya uonekane kijana zaidi(anti aging, antioxidation).
Kwa kupunguza uzito na sukari za ziada hukufanya uongeze ufanisi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.