Single law nchi zetu hizi za Kiafrica ni upigaji wa kufuru. Lbda nikusaidie, makampuni yanayoweza kujenga reli kwa kiwango tunachotaka yapo mengi sana duniani, sasa iweje tushindwe hata kushindanisha atleast matatu tuu? Pia kinachotuongoza ktk ujenzi ni specification za mteja alizoziweka ambazo...
Pole sana
Dhumuni la zile sticker sio kuziuza ila3 gari linatakiwa likaguliwe then ulipie ile sticker kwa huduma ya ukaguzi. Ila wabongo wanefanya mradi. Na ole wako uwakomalie waikague gari yako ndo upate sticker kwa3 bei halali utajuta.
Hata kama gari yako itakuwa brand new utasikia oil...
Angalia kama wire3 wa earth unafanya kazi vizuri. Mara nyingi watu wanaweka earth rods za bei rahisi ambazo sio pure copper ila nondo za kawaida ambazo zimekuwa coated kwa copper. Hii nondo kwa muda mfupi inapata kutu na inaoza kwahiyo nyumba inakosa earth na kisha kusababisha leakage ya umeme...
Daa huu uzi umenisaidia sana. Mm jamaa yangu aliita ktk style zote ambazo nimezisoma humu na nikafika nikasalimiwa good morning wakati ilikuwa saa 11 jioni ila nikavumulia tuu. Nikaingia kwenye mafunzo ya awali ila nilitoka sijaelewa kitu na nikaahidiwa nitaelewa vizur kwenye mafunzo ya pili...
Ni kweli, ila ushauri wa kumfungia nyoka kiunoni hahahaa huo siuwezi maana watt wetu wengine hawa hata hajawahi kumuona nyoka kwa ukaribu, anamsoma kwenye vitabu tuu sasa ndo aamke amkute tupo kiunoni na kwa bahati mbaya hana uhakika kama yu hai ana amekufa, hii inaweza kuwa tukio baya sana...
Yaa ila gari niliyonayo kama nilivyosena niyakusambazia tuu maana ni canter tani 2 japo kibongo bongo hadi tani 4 inabeba. Hii kwa kufuata mizigo mikoani haifai, ni town trips kwa ajili ya door to door distribution tuu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.