Mkurugenzi wako uelewa wake mdogo ,ndio maana akakujib hivyo .
Ila Mwanadam akiwa katka mazingira aina tatu uwaga anaongea ukweli
1. Ulevi
2. Utani
3. Hasira
Katka mazingira hayo mtu akikwambia kifanyie kazi.
Ajawai kuwa na akili zilizo timilika huyu, pathetic idiot!
Kuna wakat unatakiwa uondoe hisia ,katka vitu vya kimaamuzi na hivyo ndivyo taasis uendeshwa .
Nyie mna kipi hasa ,misimu mitano mmevuna points 35,yanga msimu mmoja tu points 20, bado unaona sawa tu!? Jitafakari
Sent from my Infinix X623 using JamiiForums mobile app
Tuendelee kuwa bize na mpira ,Simba na Yanga, huku fei. . watu wanakomba kila kitu, nchi gan redio na tv azina mijadala ya vitu muhim ni mpira tu! Mambo yaki puuzi kabsa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.