Sasa kama ndohivyo kumbe ni kazi rahisi kuwapata hawa watu wasiofahamika kuna haja gani ya kuweka conditions kuwa kama police wakiwakamata basi lissu atawajua akati anawafahamu waliomshambulia mimi ningependa hili swala lisichukuliwe kisiasa sababu kulichukulia kisiasa basi mwisho wake siyo...
Hayaa sasa kinana na polepole kazi kwenu kukinusuru chama maana tani1.5mil simchezo na kama zipo mnataka kuanza kuzigawa mda gani sababu watu wanakufa kwa njaa hukuu
Kama kweli ccm wanataka kurudisha angalau kidogo imani ya chama kwa wananchi basii watuoneshe hizo tani 1.5mil siyo kuandika magazetini tuu maana huku mitandaoni imeshakuwa ndo mjadara hakuna kingine cha kuzungumzia
Kila nikizisoma hizi habari huwaga naharibu siku yanguu sijui nifanyeje ili nisiwe naiharibu siku yangu maana imefika mda naona bora kusiwe na serikali maan kama watu wanachanga kwa ajili ya waathirika alafu mnabadilisha lengo na kuwa eti zinaingia kwenye taasisi za serikali hiyo mifuko ya maafa...
Tunakuwa watumwa ndani ya nchi yetu nani wa kutukomboa???? Tumekuwa wakimbizi ndani ya nchi yetu nani wa kututoa katika janga hiliii??? Hivi kwelii ng'ombe za wazawa zinataifishwa alafu ng'ombe haramu zinapeta ndani ya ardhi ya tanzania sasa naanza kuelewa kwanini kipindi kilee hawa jiran zetu...
Huu mpango wa tushirikishane utaanzishwa linii na mbunge wangu mwaka???? Wa jimbo la chilonwa???? Maana kuna vitu vingi sanaa vinakosekana chamwino ikulu na vinahitajika kuwepo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.