Recent content by chibaluwa

  1. C

    Ombi: Kwa wataalamu wa mambo ya Sheria naombeni msaada

    Kiusalama haitakiwi.mim pia ni dereva na wamewah kunisumbua kwa tatizo Kama hilo lakin wao magar yao yanaufa lkn pia hata bima haya na hayakamatwi kwel tunanyanyasika Sana barabaran maana imekua biashara kwao
  2. C

    Mwadhama - Kardinali Polycarp Pengo ni mgonjwa

    Mungu wetu ni mwaminifu atakuponya askofu ili ukaifanye kazi yake.amen
  3. C

    Tapeli mkubwa jijini Dar es Salaam: Malik Hussein Rawji

    Pole sana kaka.kwahio aliiba na hizo laptop au alikuzingua kukuacha kule
  4. C

    Mamilioni ya Lowassa yaingia CHADEMA

    Kiukwel nyota ya lowasa iko juu kama kweli atagombea kupitia chama chochote mim binafsi nitampa kura yangu.hamtakaa mkanieleza kitu juu ya lowasa nikawaelewa yuko juu
Back
Top Bottom