Recent content by chi-boy

  1. C

    Shiriki shindano la #ChinaMade kujishindia simu ya Huawei au Xiaomi Arm Band

    #ChinaMade Nlikuwa nikiamini bidhaa za china hazina ubora. Hasahasa kwenye simu. Nimekuwa nikinunua simu (smartphones) za gharama kama Samsung, Sony na Nokia nikiamini ndo zitadumu ila kwa uharibifu wangu hazikumaliza mwaka. Mwaka jana kutokana na kutokuwa na pesaa ya simu ya gharama nkaona...
  2. C

    Wauza smartphone tukutane hapa

    Ipo solar 5, bei 200,000 nicheki 0717599884
  3. C

    Yaliyojiri mkutano wa Mgombea Urais wa CCM, John Magufuli viwanja vya Majimaji, Songea

    Mkopo wa nini wakati tushaambiwa elimu bure hadi chuo kikuu..
  4. C

    Huyu housegirl anaelekea kuvunja ndoa yangu sasa

    Tafta mtu umlipe amtongoze na amuhaidi ndoa katika hali yake hiyo hiyo ya ujauzito Ila uache kula kavu tena ma housegal, jitunze una mtoto wa kulea
  5. C

    HTC one mpya in box

    kuna "htc one" mpya for 600,000. Wahi sasa kwa anayejua simu anaelewa bahati hiyo bei. Pia kuna "htc one x" mpya for 400,000.. Kwa anyehitaji 0717599884
  6. C

    QUICK SALE: BRAND NEW HTC ONE X 32GB,RAM 1GB,1.6GHz,8M.P ONLY 390,000/=

    Ipo nyengine kwa 380 kama umeikosa hiyo. 0717599884
  7. C

    s5 au note 3

    Samahani natoka nje ya hizo.. Kuna htc 1 mpya haijawahi kutumika in box for 600,000.. if u are interested lakin 0717599884
  8. C

    PlayStation 2

    Ipo.. Nicheki pia..
  9. C

    Nauza sony xperia Z

    Simu ipo kwenye hali nzuri.. Imetumika miezi miwili.. Bei 600,000 Mwenye kuhitaji tuwasiliane 0717599884..
  10. C

    mwenye gari ya kuuza ani pm fasta

    Kuna altezza lexus . Nichek kwenye namba hii 0717599884.. Natumia simu siwezi kuku pm..
  11. C

    Road/railway through Serengeti - pigo kwa Uhuru Kenyatta!

    naona umeamu Kuikimbia point na kukazania upuuzi.. kama amekosea kwenye wingi wa habiria bado haibadilishi ukweli kuwa watanzania tunajiua wenyewe.. viongozi wenye uwezo kama wako wa kutochambua mambo muhimu na kuacha kupoteza muda na vitu visivyo na tija ndo wametufikisha hapa... tunahitaji...
  12. C

    dell inspiron inauzwa

    Dell Inspiron 3520 – 2.3Ghz – 500GB – 4GB RAM – Webcam – WLAN – Bluetooth – 15.6'' – DVD RW – Win 8 bei laki 7.. mwenye kuitaka ani cheki 0717599884...
  13. C

    Nitakavyomkumbuka JK

    Raisi hasiyejua idadi ya wanae...
  14. C

    chadema msiwahadae watanzania juu kifo cha daudi na wengine

    ndo maana kuna vyama vingi.. Unaeza shabikia ukipendacho, Chadema kama hakikuridhish hama...
Back
Top Bottom