mwenye gari ya kuuza ani pm fasta

mwenye gari ya kuuza ani pm fasta

tatizo elimu anyways sio kosa lako
elimu gani unayozungumzia wewe,labda hiyo ya udalali utakuwa umenipita,otherwise dont brag hapa kuwa una elimu,sasa usiambiwe kama unaandika sentesi zinazoleta maana usiyokusudia...sasa gari isiyopakwa rangi ni gari ya aina gani,kwa sababu hata nyeupe ni rangi pia,kuwa mpole kubali ulikosea
 
Nina hilux pickup king cabin iko ktk hali nzuri kbs bei 27.5m kwa mawasiliano zaid tafadhali tuwasiliane 0713305000
 
elimu gani unayozungumzia wewe,labda hiyo ya udalali utakuwa umenipita,otherwise dont brag hapa kuwa una elimu,sasa usiambiwe kama unaandika sentesi zinazoleta maana usiyokusudia...sasa gari isiyopakwa rangi ni gari ya aina gani,kwa sababu hata nyeupe ni rangi pia,kuwa mpole kubali ulikosea
kwa taarifa yako mie sio dalali fanya upelelezi unijue mie ni nani na vile vile sina mda wa kujibizana na wewe kwangu muda ni hela siko kama wewe uliekosa kazi unaanza kuingilia maada zisizokuhusu...endelea utakavyo sitokujibu coz nina kazi za kufanya siko kama wewe
 
kwa taarifa yako mie sio dalali fanya upelelezi unijue mie ni nani na vile vile sina mda wa kujibizana na wewe kwangu muda ni hela siko kama wewe uliekosa kazi unaanza kuingilia maada zisizokuhusu...endelea utakavyo sitokujibu coz nina kazi za kufanya siko kama wewe

nani apoteze muda kumpeleleza boya kama wewe , ingekuwa hiyo mada ya kuhitaji gari hainihusu ungeandika na majina ya watu unaotaka wasome au wacomment, ila umeweka huo uzi ili wote tuusome....pia ungekuwa una hela kama unavyojisifia usingehangaika kutafuta gari hapa JF,ungeagiza moja kwa moja,hizo tuhela twa mkopo zisikutie jeuri kijana,muheshimu kila mtu,hata wewe hunijui mimi ni nani!
 
Kuna altezza lexus . Nichek kwenye namba hii 0717599884.. Natumia simu siwezi kuku pm..
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom