jamani kumspoil mke wako sio lazma kuwe kwa mamilion au malaki yaan mfanyie mkeo kulingana na kipato chako kama ni kipato cha chini si lazima muende outing za hali ya juu mnawza mkaenda bar au sehemu ya jirani mkanywa soda mkacheka mkafurah..au mkaenda mliman city mkaingia mary brown mkanywa...
hapo sasa waislam ndo mjue maana na. faida ya elimu..kutwa kukaa vibarazan kucheza bao mnaacha kuwapeleka watoto shule mnawapeleka madrasa pekee...elimu ya dini iende sambamba na elimu ya darasani... mngekua mmeelimika wasomi mngekua kwenye izo nafas za mahakimu na wasimamiz wa kesi
iviii hujioni unagundu,umechina,huna swaga au we mbaya????? kwanin kila siku wewe tu unatoswa wewe tu hupendwi wewe huyohuyoooo...why?inabidi ujiangalie vizur kwenye kioo uone kasoro yako kaka angu haiwezekani na sifa zote izo bado kila siku unalalamika mademu wanakutosa naamini lipotatizo...
kwa kweli wanawake tunajiahaugi sana..ukisha zaa attention yote inaamia kwa mtoto unajisahau ye mwenyewe unamsahau na mumeo...chamsingi ni jaribu kubadiliaka....jaribu kua unafanya vile vitu mlivyokua mnafanya b4 ndoa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.