Habari wadau, napenda kuwashukuru wote waliofanikiwa kuwasilisha offer zao kwa ajili ya miti ya mipaina. Nashukuru niweza kupata Supplier wa miti niliyokuwa naihitaji kwa gharama shindani.
Asanteni sana
🙏🙏
Habari wanajamii,
Natafuta Supplier wa miche ya miti ya mipaina kwa ajili ya kupanda kwenye shamba langu lililopo Mzenga Zegero, wilaya ya Kisarawe, mkoa wa Pwani.
Idadi ya miche inayohitajika ni takriban 5250 yenye urefu wa angalau futi moja.
Supplier aliye na utayari awasilishe ofa ya...
Acha uongo lengo la master's degree sio kupata managerial exposure. Lengo ni mwanafunzi aweze kumasta field yake( kuwa mahiri). Phd mwanafunzi anatakiwa kucontribute new knowledge kwenye body of knowledge.
Nadhani umemwelewa vizuri ila binafsi naona kuna kitu hakipo sawa... Ningependa uelezee hii innovation in terms of "law of conservation of energy"
Kama huu ugunduzi hauta obey hii law, basi mgunduzi atakuwa katwanga maji kwenye kinu.
NB: The law of conservation of energy states that " Energy...
Anzisha chuo cha ufundi diploma na veta then somesha Engineering na icts, pia anzisha na kampuni ya uhandisi inayomilikiwa na chuo, utakuja kunishukuru
Asante, mtazamo wangu ni kwamba tubadili mfumo wetu wa elimu, 80% ya elimu yetu ijikite katika elimu ya ufundi, kilimo, ufugaji, sanaa michezo na kujitengemea. Hizi ndio nyanja ambazo ni rahisi kwa mtu kuajirika na kujiajiri pia na ndio vitu vinavyogusa maisha yetu ya kila siku. 20% iliyobaki...
Sisi ni wajinga mpaka inatia kichefuchefu. Basi tu-assume watanzania wote tunajua kiingereza au lugha za kigeni kwa ufasaha sawia Waingereza/ wageni , So what? Wote tukafanye kazi za kimataifa? Akili za kitumwa hizi.
Tuwezeke katika elimu ili kupata maarifa ya kutosha katika lugha tunayoimudu...
Nilitegemea ungezungumzia mfumo wa elimu ambao ni bora katika nyanja ya content na context. Ila hizo 8-4-2 n.k ulizoziekezea sidhani kama ni kipimo cha elimu nzuri mi nadhani ni muundo tu na mpangilio wa vidato na madarasa.
Ni naona shida kubwa ipo kwa directors (waongozaji). Director kwa kiasi kikubwa ndio huamua muvie iwe na uhalisia au la. Ila wasanii tunaowengi sana wenye uwezo na stori ambazo zinaweza kuwa converted into movie zipo nyingi sana mtaani. Filamu nyingi zilizoongozwa directors kutoka nje na actors...
Sumaku na usumaku ni medium kwa ajili ya conversion of mechanical energy to electrical energy na sio chanzo cha nishati yoyote( source of energy). For more clarification refers to Faraday's laws of electromagnetic induction and lens's law and law of conservation of energy as well.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.