icho chama cha chovya chovya maliasili ni chukizo mbele ya uso wa Mungu, juu ya ardhi na chini ya jua, it is immeditely extincting, weken recodi ya kumbukumbu yake kweny museum kabla vipc vyake havijatokomea
Alikuw sahihi kusema kuw tuliwah kuingia kwny mfumo wa vyama ving kwa mawazo yake kwa kuwa anaona kabisa mafisad wamegundulika hali kizaz chake kingali kichanga, kaona kuwa no more rooms kwa kuwa upinzani unaona
aaahh...
hawa c walewale wa kuxema kuwa ulimi uliteleza,(tz ni muungano wa zambia na ....) awam hii kidole kiliteleza na kuandika kuwa wabunge 7 wa cdm wahmia ccm kinyume chake ni sahihi
apo powa
ccm wnataka kujikumbushia yale ya Marmo?
Mwachen kijana wetu Fratei atuburudishe na visarakasi vyake cc wa kuwap kura tunao tayari
wajaribu tena baadaye
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.