Recent content by CHENENEY

  1. C

    Inatakiwa mzidiane miaka mingapi kuona?

    kumbe kashahitimu primary uyo ni mzoefu tu kwni maticha wa primary hawakawii ktk uzinduz wa mijojo ya watoto wa watu.
  2. C

    Taadhari kwa wananchi kuhusu CCM

    kupitia ccm yangu nitakumbukwa sana na kuitwa bwana maendeleo hasa na Riz kwani nimemfanya kuwa nusu billionea,
  3. C

    Uchafu wa st.john university adharani.

    kifo cha profesa Mwaga = kifo cha saint John laana ya profesa Mihanjo yaanza kuzaa matunda
  4. C

    CHADEMA yaisambaratisha CCM Uchaguzi wa Vijiji Kilosa

    icho chama cha chovya chovya maliasili ni chukizo mbele ya uso wa Mungu, juu ya ardhi na chini ya jua, it is immeditely extincting, weken recodi ya kumbukumbu yake kweny museum kabla vipc vyake havijatokomea
  5. C

    CHADEMA yaisambaratisha CCM Uchaguzi wa Vijiji Kilosa

    icho chama cha chovya chovya maliasili ni chukizo ata kwa shetani
  6. C

    Baada ya mahojiano: Makosa yaliyomnyima Lema dhamana ni haya, kwa mujibu wa Mwanasheria wake

    bado wanaiongezea cdm mtaji wa kushinda 2015,
  7. C

    John Heche: Vijana wa CCM wamelelewa Kipropaganda

    Alikuw sahihi kusema kuw tuliwah kuingia kwny mfumo wa vyama ving kwa mawazo yake kwa kuwa anaona kabisa mafisad wamegundulika hali kizaz chake kingali kichanga, kaona kuwa no more rooms kwa kuwa upinzani unaona
  8. C

    Halahala CCM na Nchemba wenu!

    mazishi ya ccm yalishaanza 2010 jimbo la Mbulu, 2015 ni kuhitisha tu. DEMOKRASIA YA KWELI IKO MBULU by Mwl Nyerere
  9. C

    Kinana , Katibu mwenezi wa CHADEMA ona hapa .

    it is always simple to perform wageless task
  10. C

    Huu ndio mzimu unaoimaliza CCM

    chuma kikiota kutu lazma kiwe butu, ccm butu ni butu zaidi ya ubutu wa chuma cheny kutu
  11. C

    TCU: Darasa la saba sasa kujiunga na chuo kikuu moja kwa moja

    mleta mada kalewa pombe ya ulanga
  12. C

    Mwigulu Nchemba: Wabunge Saba wa CHADEMA Kuhamia CCM!

    aaahh... hawa c walewale wa kuxema kuwa ulimi uliteleza,(tz ni muungano wa zambia na ....) awam hii kidole kiliteleza na kuandika kuwa wabunge 7 wa cdm wahmia ccm kinyume chake ni sahihi
  13. C

    CCM wabwagwa tena na CHADEMA katika uchaguzi wa marudio Getarer,Mbulu

    apo powa ccm wnataka kujikumbushia yale ya Marmo? Mwachen kijana wetu Fratei atuburudishe na visarakasi vyake cc wa kuwap kura tunao tayari wajaribu tena baadaye
Back
Top Bottom