John Heche: Vijana wa CCM wamelelewa Kipropaganda

John Heche: Vijana wa CCM wamelelewa Kipropaganda

Kakende

JF-Expert Member
Joined
Aug 18, 2012
Posts
2,741
Reaction score
1,233
Katika kipindi cha tuongee siasa leo Asubuhi Star TV Mwenyekiti wa BAVICHA John Heche amesema tatizo vijana wa CCM wamelelewa kipropaganda

Mimi binafsi nakubaliana na John Heche, ni kweli hata humu Janvini utaona badala ya wafuasi wa CCM kusema mafanikio ya CCM badala yake wanajikita kwenye propaganda za kuchafua CHADEMA eti chama cha Ukanda, ukabila na sasa wamehamia kwenye ugaidi.

Kwa upande wa CHADEMA utaona wanapiga kelele kuhusu ufisadi, mimi naamini ukifanya analysis ya matatizo ya nchi hii utaona kuwa asilimia kubwa inasababishwa na uvujaji wa pesa kwenda kwa watu wachache matokeo yake serikali inashindwa kutekeleza miradi ya maendeleo

Swali kwa proCCM, hivi ni kweli hamna la kuwaambia watanzania kuhusu mambo mazuri yaliyofanywa na CC tangu tupate uhuru, na badala yake mnajikita kwenye propaganda?
 
Naomba nikurekebishe kidogo,sio kipindi cha tuongee asubuhi siasa,bali ni Tuongee Asubuhi.
Pia sikuungi mkono hoja yako,maana unaonesha ni jinsi gani malumbano ya Makonda,Heche na Mzee Farijara ulikuwa upande wa Heche,ambae anaongea kijeuri kama walivyozoea kwenye majukwaa kupinga kila kitu,na leo anapinga hadi muungano,ana akili huyo unadhani?chadema mnatengeneza vijana wabishi,na wapingaji wa kila kitu,muungano siyo wa ccm,ni wa watanzania,punguzeni kuropoka.
 
Naomba nikurekebishe kidogo,sio kipindi cha tuongee asubuhi siasa,bali ni Tuongee Asubuhi.
Pia sikuungi mkono hoja yako,maana unaonesha ni jinsi gani malumbano ya Makonda,Heche na Mzee Farijara ulikuwa upande wa Heche,ambae anaongea kijeuri kama walivyozoea kwenye majukwaa kupinga kila kitu,na leo anapinga hadi muungano,ana akili huyo unadhani?chadema mnatengeneza vijana wabishi,na wapingaji wa kila kitu,muungano siyo wa ccm,ni wa watanzania,punguzeni kuropoka.

Katika kipindi cha tuongee siasa leo Asubuhi Star TV Mwenyekiti wa BAVICHA John Heche amesema tatizo vijana wa CCM wamelelewa kipropaganda

Mimi binafsi nakubaliana na John Heche, ni kweli hata humu Janvini utaona badala ya wafuasi wa CCM kusema mafanikio ya CCM badala yake wanajikita kwenye propaganda za kuchafua CHADEMA eti chama cha Ukanda, ukabila na sasa wamehamia kwenye ugaidi.

Kwa upande wa CHADEMA utaona wanapiga kelele kuhusu ufisadi, mimi naamini ukifanya analysis ya matatizo ya nchi hii utaona kuwa asilimia kubwa inasababishwa na uvujaji wa pesa kwenda kwa watu wachache matokeo yake serikali inashindwa kutekeleza miradi ya maendeleo

Swali kwa proCCM, hivi ni kweli hamna la kuwaambia watanzania kuhusu mambo mazuri yaliyofanywa na CC tangu tupate uhuru, na badala yake mnajikita kwenye propaganda?

Maneno mbofu mbofu
 
Katika comment 10 za akina BUNGENI,RITZ,SUMU na CHRIS LUKOSI bila shaka 9 zinaponda CHADEMA!
 
we vipi ... sasa na yeye si mtanzania?? ametoa mawazo yake haungi mkono Muungano, zanzibar CDM wako wangapi? mbona na wao wengi hawaungi mkono Muungano?? Viongozi wengi wa CCM Zanzibar nao hawataki Muungano au ndo tayari weshajiunga na CDM?
Mimi mwenyewe sioni manufaa yeyote ya Huu Muungano tupa kuleeeeeeeeee ...
 
Naomba nikurekebishe kidogo,sio kipindi cha tuongee asubuhi siasa,bali ni Tuongee Asubuhi.
Pia sikuungi mkono hoja yako,maana unaonesha ni jinsi gani malumbano ya Makonda,Heche na Mzee Farijara ulikuwa upande wa Heche,ambae anaongea kijeuri kama walivyozoea kwenye majukwaa kupinga kila kitu,na leo anapinga hadi muungano,ana akili huyo unadhani?chadema mnatengeneza vijana wabishi,na wapingaji wa kila kitu,muungano siyo wa ccm,ni wa watanzania,punguzeni kuropoka.

Ule uzi wako walifuta naona umekurupukia huku,kazi unayo!
 
Wote wapondao cdm wajue kwa mambo jinsi yalivyo huko nyumbani ni sawa na kutwanga maji katika kinu. Infact CHADEMA inapendeka sana nchini. Tumejionea wenyewe mikutano ya cdm ya hivi karibuni, huko Iringa, Mwanza, Mbeya na Dodoma ilivyovuta maelfu ya watu. Pia lazima tukubali kuwa CCM bado inanguvu sana. Katika mazingira kama hayo ni lazima mvutano wa vyama hivi vikuu usababishe maumivu makali kwa nchi.
 
we vipi ... sasa na yeye si mtanzania?? ametoa mawazo yake haungi mkono Muungano, zanzibar CDM wako wangapi? mbona na wao wengi hawaungi mkono Muungano?? Viongozi wengi wa CCM Zanzibar nao hawataki Muungano au ndo tayari weshajiunga na CDM?
Mimi mwenyewe sioni manufaa yeyote ya Huu Muungano tupa kuleeeeeeeeee ...

Ndugu yangu! bila itikadi zozote za kisiasa, Muungano ni tunu kwetu. Tuulinde. Baadhi ya Wanzanzibari wanalalamikia muundo wa muungano na si kwamba hawautaki. Manufaa ya muungano hauyaoni! We ulitaka uone manufaa gani?
Tutakuwa watu wa ajabu duniani, tukivunja muungano wetu, at the same time
tukikazana kuimarisha jumuiya za kikanda mfano
EAC,SADC etc. Tafakari.
 
Badala ya kusema vijana wa cdm anawarushia wastaarabu wa ccm.
 
tatizo ccm wamejikita kwenye kuikabili chadema badala kukabili matatizo ya wananchi
 
Naomba nikurekebishe kidogo,sio kipindi cha tuongee asubuhi siasa,bali ni Tuongee Asubuhi.
Pia sikuungi mkono hoja yako,maana unaonesha ni jinsi gani malumbano ya Makonda,Heche na Mzee Farijara ulikuwa upande wa Heche,ambae anaongea kijeuri kama walivyozoea kwenye majukwaa kupinga kila kitu,na leo anapinga hadi muungano,ana akili huyo unadhani?chadema mnatengeneza vijana wabishi,na wapingaji wa kila kitu,muungano siyo wa ccm,ni wa watanzania,punguzeni kuropoka.

Utalinganisha na huyo kiazi wa CCM aliyekuwa anadai eti hata kuingia kwenye mfumo wa vyama vingi tuliharakisha!?? Hivi huko CCM huyo mnachomwa sindano za kuwadumaza akili.
Henche kwa taarifa yako alikuwa hapingi Muungano isipokuwa alikuwa anashangaa what hell is this kind of Muungano?? Eti Zanzibar ina Rais ni dola kamili imeungana na nusu dola tangayika isiyo na rais wala sio dola halafu mi CCM inaswagwa kama manyumbu ooh zidumu fikira za mwenyeki.........
 
Ila kiuhalisia ni ngumu zaidi kuwa chama tawala kuliko kuwa chama cha upinzani.
 
Naomba nikurekebishe kidogo,sio kipindi cha tuongee asubuhi siasa,bali ni Tuongee Asubuhi.
Pia sikuungi mkono hoja yako,maana unaonesha ni jinsi gani malumbano ya Makonda,Heche na Mzee Farijara ulikuwa upande wa Heche,ambae anaongea kijeuri kama walivyozoea kwenye majukwaa kupinga kila kitu,na leo anapinga hadi muungano,ana akili huyo unadhani?chadema mnatengeneza vijana wabishi,na wapingaji wa kila kitu,muungano siyo wa ccm,ni wa watanzania,punguzeni kuropoka.

Acha unafiki na wewe, Kwani muungano una faida gani kwa watanzania? Wanzanzibari wenyewe hawautaki! Usiishi kwa kujikomba kama NAPE, au hujatolewa POSA nini? We greda la CHAMPION tu! Siku mambo yote CAT 140H!
 
Ukimwaona kijana yeyote ambae hakubali mabadiliko ya aina yeyote katia ni katika nchi yake na anatetea uovu,dhuluma,majungu,uzandiki,mwenendo mbaya wa vyombo vya dola,rushwa,kuchochea audini,ukabila,kugawa watu kwa matabaka kwa ujumla wake mtu huyu ni kibaraka wa wale wanaumtumia.na hata katika maandiko ya vitabu vitakatifu vinasema,...................na nukuuuuuuu..........ole wake mtu yule amtegemea binadamu mwenzake............wakati wote tunatakiwa tumtegemee mungu basi ndugu zangu adhabu yake ni kutupwa katika jehanamu ya moto inayowaka moto wa milele............mwisho wa kunuku...hakuna nchi ambayo ukiacha hizi za afrika tatu ambazo zimekwepa mabadiliko ya democrasia....ndugu zangu tunakila sababu ya kujua kesho yetu..kesho ya rasilimali zetu .kwa kuwa na watu makini wenye uchungu na nature resource zetu.tafadhali sana naombe ni kwa mustakabali wa taifa hili tuweenike itikadi tupige kazi....
 
Kwa style ya siasa za ccm na ukiritimba uliokithiri na mfumo wa muungano tulionao ndizo zimedumaza maendeleo ya ZANZIBAR.
 
Swali kwa proCCM, hivi ni kweli hamna la kuwaambia watanzania kuhusu mambo mazuri yaliyofanywa na CC tangu tupate uhuru, na badala yake mnajikita kwenye propaganda?

Duh mi naomba nijitoe hapo, WE hukumbuki mwaka jana kwenye sherehe za miaka 50 walisema inchi wakati inapata uhuru maghorofa yalikuwa yanahesabika huku mheshimiwa mmoja akisema mwanza kulikuwa na LIBUGANDO LIMOJA tu na sasa ni mengi. hiyo yote ni jitihada za serikali na inaonyesha uchumi umekua, Bila kujitambua kwamba kwa sasa hata viwanda tulivyoachiwa na nyerere vyote vishazikwa, mashirika ya usafirishaji kama shirika la ndege, na kwa sasa serikali imefikia kiasi cha kusubiri wafadhili kujenga hata ofisi za kata (Vyumba viwili hadi 4), Serikali inashindwa kuendeleza hata shirika la nyumba kwa kujenga nyumba mpya na sasa ni kubinafsisha na Mbaya zaidi Hata nyumba za wanausalama wetu (Kambi za majeshi kama Polisi na magereza) zaidi ya 50% ni zile tulizoachiwa na nyerere vitu ambavyo serikali ilitakiwa kujivunia nazo na sio kuhesabu maghorofa ya watu binafsi.
 
Alikuw sahihi kusema kuw tuliwah kuingia kwny mfumo wa vyama ving kwa mawazo yake kwa kuwa anaona kabisa mafisad wamegundulika hali kizaz chake kingali kichanga, kaona kuwa no more rooms kwa kuwa upinzani unaona
 
Naomba nikurekebishe kidogo,sio kipindi cha tuongee asubuhi siasa,bali ni Tuongee Asubuhi.
Pia sikuungi mkono hoja yako,maana unaonesha ni jinsi gani malumbano ya Makonda,Heche na Mzee Farijara ulikuwa upande wa Heche,ambae anaongea kijeuri kama walivyozoea kwenye majukwaa kupinga kila kitu,na leo anapinga hadi muungano,ana akili huyo unadhani?chadema mnatengeneza vijana wabishi,na wapingaji wa kila kitu,muungano siyo wa ccm,ni wa watanzania,punguzeni kuropoka.
umethibitisha bado upo kipropaganda
 
Back
Top Bottom