Katika mfumo wa ticket wa Safari za treni yetu ya mwendo kasi, nimebaini kuwa tickets zimegawanywa katika makundi mawili kwa kuzingatia umri wa abiria: Mtu mzima Na mtoto.
Kwa mujibu wa TRC, Mtu mzima Ni kuanzia miaka 14. Kwakuwa hili ni Shirika la Umma Ni vema lionyeshe njia katika kufuata...
Nina utamaduni wa kutembelea wagonjwa Hospitalini na katika jamii inayonizunguka. Katika hali iyo nimekuwa nakutana na wagonjwa wenye Changamoto mbalimbali.
Changamoto ya hivi punde ni Gharana za Upasuaji kwa wagonjwa waliopata ajali Na kuvunjika viungo Hospotari ya Rufaa Dodoma (General...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.