Recent content by CHEMLINGI

  1. CHEMLINGI

    Security Group yakumbwa na kashfa

    KAMPUNI ya ulinzi ya kimataifa ya Security Group, ambayo inatoa huduma ya ulinzi kwenye ofisi za Umoja wa Mataifa (U.N), mabalozi, mabenki na ofisi nyingine kubwa nchini, inadaiwa kukwepa kodi na kujiendesha kiujanjaujanja, Tanzania Daima limebaini. Kampuni hiyo maarufu nchini, inadaiwa...
  2. CHEMLINGI

    Lowassa aikana Richmond, asema alijiuzulu kwa heshima ya serikali na chama chake!

    Huo ndio ukweli yapo mengi nyuma ya paziaaaaaaaa..................
  3. CHEMLINGI

    Lowassa aikana Richmond, asema alijiuzulu kwa heshima ya serikali na chama chake!

    Nilichogundua tatizo halikuwa Richmond ila tatizo lilikuwa ni Uwaziri Mkuu... wanasiasa wa Bongo wamejaa fitina na uchu wa madaraka... haiwezekani mitambo ya Richmond na baadaye Dowans iliyodaiwa kuwa ni michakavu na haina uwezo wala sifa za kununuliwa na serikali leo hii iwe na sifa za kuweza...
  4. CHEMLINGI

    Prado tx for sale - iko bombaa

    PRADO TX IN GOOD CONDITION Model: 1997 Millage: 117,000km Cc 3000 Engine 1KZ Diesel, Color: Green 2 tone Transmission: AT 5 doors, 8 passengers, AC, PS, PW, AL, ABS. Price: Tshs 19m/- Negotiable TEL: 0712155221
  5. CHEMLINGI

    Kimenuka NHC, Wizara yamweka kitimoto Mchechu na timu yake

    watanzania tuache majungu... Nehemiah ni jembeeee... Hao wataalamu waliotimuliwa walifanya kitu gani nhc sana sana walipelekea shirika kuelekea kaburini... Wabongo tusipoacha tabia za majungu, wivu, roho mbaya na chuki binafsi nchi itabaki kuwa ya walalamikaji tu badala ya kupiga hatua hatimae...
  6. CHEMLINGI

    Waziri Sitta achongewa kwa Lowassa

    masai oyeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee... Watake wasitake...
  7. CHEMLINGI

    Vyombo vya usalama acheni propaganda, Sheikh Farid mlimteka kweli, ushahid huu hapa...

    Mijitu mingine kwa pumba bwana...sasa huo ndo ushahidi gani...!!!!!!!!
  8. CHEMLINGI

    Kipindi kigumu jimboni Kawe

    Hata mkimtetea vipi... haitasaidia kuwabadilisha wana Kawe kujutia maamuzi yao ya mwaka 2010... HALIMA MDEE ni MZIGO KWETU.... hana msaada hata yeye mwenyewe analifahamu hilo. Mwaka 2015 arudi Viti Maaulum watupe Jembe lingine.
  9. CHEMLINGI

    Kipindi kigumu jimboni Kawe

    Najutaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa... kumchagua huyu Dada ni mzigo kweli kweli wala haonewi tokea tumchague hajawi hata siku moja kuja Kata ya Msasani kuitisha mkutano hata wa shukurani tu... ila ukienda Nyumbani Lounge kwa Lady Jay Dee amejaa tereeeeeeeeeeeeeeeeeee... JF tusitete uwozo jamani eti kwa...
  10. CHEMLINGI

    John Tendwa Live on ITV katika 'Kipima Joto' cha Masako!

    Wadau mtujuze na Tendwa anachangia nn... hakuna maana ya mjadala kama karibia wachangiaji wote mpo upande mmoja
  11. CHEMLINGI

    Ufisadi wa Blandina Nyoni huu hapa!

    Usimhukumu mtu kwa tuhuma tuuu... wewe siyo Mungu Baba ndiyo maana vimekuwepo vyombo vya dola kama hayo yote ni kweli. Changia kwa hoja na siyo kwa kufuata upepo au kwa ushabiki.
  12. CHEMLINGI

    Dr. Ulimboka hatukuelewi ! ! !

    Mwacheni Doctor apate muda wa kupumzika kwani bado hajawa fit kiasi hicho... kuanza misukosuko tena licha yeye kusema yupo fit pale airport siku alipowasili... lkn kwa nilivyomuona...bado anahitaji mapumziko.
Back
Top Bottom