Recent content by chemistryj

  1. chemistryj

    TANZIA Yona Fares Maro (MwanaJF na Muasisi wa Wanabidii) Afariki Dunia

    Ndoa kitu cha ajabu unapewa cheti wala mtihani hujaufanya . May allah pour his mercy on him.
  2. chemistryj

    Huyu mwanamuziki nmeshindwa kumwelewa. Sijui wenzangu wenye kipaji

    Hata sijui katoa nyombo IPI ya mwisho
  3. chemistryj

    Leo tumalize ubishi ni msanii gani wa rap anaweza fika hata nusu ya Fid Q

    Fid hana mpinzani namlinganisha na Kendrick lamar
  4. chemistryj

    CHADEMA kwanini hamjifunzi kutoka CCM?

    Akili za chawema anazijua wema sepetu baada ya kuarubuni.
  5. chemistryj

    Magufuli kutawala kurasa za mbele za magazeti, Je anastahili hata kama hazina impact, au wahariri wanajipendekeza?

    kwa hiyo wahariri wetu ni mazwazwa ama vipi,lakini imani yangu ni kua jpm sasa ni unique katika hii Tanzania wacha tu azungumziwe .
  6. chemistryj

    Rozay mbona hajapost waka waka ?

    Maybach music
  7. chemistryj

    Nani yupo sahihi,Afande Sele au Mrisho Mpoto?

    Mpito yupo sawa
  8. chemistryj

    Kama simu yako ni original chora huu mstari

    ______________________
  9. chemistryj

    Kampeni Ya utaifa kwanza ni unafiki

    Mimi naunga mkono wewe endelea kupinga kwani sio ajabu tunakujueni ndo walewale waloshikiwa akili na gastura.
  10. chemistryj

    DW: Rais Magufuli ni dikteta mpya Afrika? Yauliza kama bado kuna mtu ana ushabiki nae

    Namsapoti jpm hata asemwe kwa sifa gani mbaya mbona ktk vyama vya siasa vinaongozwa na wenyeviti madikteta mbona hawaandikA .
  11. chemistryj

    Godbless Lema nadhani hujaelewa ni nini wananchi wanamanisha wanaposema mjipange

    Kwani hadi taifa lihitaji mkombozi ni nani anatutawala wacheni mambo ya kizwazwa kisa conflict of interest ndo mutuaminishe kua tupo utumwani.
  12. chemistryj

    Kendrick Lamar kawafunika legends?

    Kendrick huyu jamaa ni shetani wa hip hop anajua mpaka hupenda kila nyimbo ya Lamar niskilize.
Back
Top Bottom