Recent content by Chembaone

  1. C

    Lissu: Ole wao nipone

    Wahariri wao wakapimwe mkojo. Sio bure
  2. C

    Polepole unampoteza Zenda

    Nani amekutuma wewe kwanini usitumie vikao vya chama aidha uvccm au vyovyote vile lakini viwe ni vikao vya chama kuzungumza madukuduku yako kama kweli unazo hoja za msingi na hukutumwa na mtu yoyote yule? Hii sio njia sahihi.
  3. C

    Dodoma: Tundu Lissu agoma kutoka nje ya Mahakama akihofia Polisi, wamshauri atoke hakamatwi..

    Huyu jamaa anajua kupiga kelele tu kumbe Naogopa polisi namna hii. Mle ndani hapajawahi kumwacha mtu salama.
  4. C

    MGAWO MIL.10 WABUNGE WA CCM BW.OLESENDEKA NA UVCCM KIMYA KAMA HAWAPO

    Jambo moja tu ambalo unatakiwa kujua ni kuwa, vijana wa ccm wamelelewa katika maadili ya kujua waongee nn wakati gani na wapi bila kusahau wanasema tu pale inapokuwepo sababu ya kuongea. hii ndio tofauti ya wanaccm na watu wale!!
  5. C

    Serikali: Fedha za Maafa ya Tetemeko Kagera zimeelekezwa kwenye Taasisi za Umma

    Kwani hiyo miundo mbinu anajengewa nani? Mbona ni ya watu wa kagera pia hukohuko. Wale watu kabla ya maafa walikuwa tayari wameshapiga hatua kwenye baadhi ya huduma muhimu. Hii leo wamerudi nyuma kabisa. Tuwaachie jambo hili serikali ifanye uratibu. Haya uliyoleta humu ni masimango ya kitoto kabisa.
  6. C

    Wakopaji Twiga Bancorp rudisheni fedha, mnasakwa

    Hivi nyie mna matatizo gani? Kufilisika kwa twiga bancorp kuna uhusiano gani na CCM? mnaelezwa sababu za kuu ni fedha kutorejeshwa na wateja wake waliokopa. Wengine mnakuja na comment za kuishambulia ccm bila sababu za msingi kabisa. Kwan kama huna hoja si ukae tu kimya?
  7. C

    Zitto Kabwe: Kwa Sheria ya Muswada huu, Mkapa asingekuwa rais, wala Mwakyembe kuwa waziri

    mwenye draft ya huo mswada atuwekee humu tusijadili mjadala hewa
  8. C

    Kuvuja Kwa Rushwa ya Wabunge Sababu ni Mgawo

    Tukikwambie umtaje huyo mbunge aliyalalamika kupewa mil tatu wakati wengine wamepewa milion kumi utaweza kututajia?
  9. C

    VIDEO: Mbunge Bashe asema, Mipango ya Uchumi ya Serikali ni mibovu na hali mtaani mbaya hakuna pesa

    Shida ni kuwa ukianza kufuatilia kwa makini hivyo viashiria vya ukuaji uchumi nchini hali inakuwa tofauti sana. Gdp growth ratio,GNP growth ratio,investment strategies and implementation,hali ya maisha kwa ujumla makazi, upatikanaji huduma za jamii na mengineyo. Ukilinganisha na mwaka mmoja...
  10. C

    Rais Magufuli, naomba utoe msamaha kwa ndugu George Paul

    Kwani alihukumiwa bila kusikilizwa?mbona sheria ziko wazi walimhukumu vipi insane?
  11. C

    Halima Mdee: Hali ya uchumi ni mbaya, maongezeko ya mapato ya TRA ni 'fake'

    hovyo kabisa halima mdee nimesubiri kwa hamu labda ntaona anakuja na takwimu halisi za mapato ya TRA anayodai yana uongo. Kumbe Ganzi kabisa
  12. C

    Anguko la Mabenki nchini? CRDB yapata hasara ya Sh. Bilioni 2

    CRDB waseme ukweli kuwa moja ya sababu kuu ni expansion waliyofanya. Huo ndio ukweli wenyewe. Upanuzi wa benki hasa ongezeko la matawi na mambo mengine mengi hula Faida iliyopo. Hili suala sasa limevikwa kanga na kuanzisha msutano Nchini. Ukweli utadhihirika tu punde.
  13. C

    Tetesi: CCM asili inamuandaa mgombea wake 2020

    CCM sio saccos huyo mwenye hilo kundi lako unalosema mwambie hata asijifiche ajitokeze hadharani lakini atachapwa tu akisimama na JPM. Huyu hana mpinzani na hatakuwa nae ever.
  14. C

    Kwanini faini wanazotozwa madereva bodaboda hazitolewi risiti za mashine za kielektroniki?

    Hivi karibuni Wakati Mh. Rais anawahutubia wakurugenzi wa halmashauri nchini alitoa tamko rasmi kuwa mapato yote ya serikali yaache kukusanyaji kwa njia ya stakabadhi badala yake njia ya elektroniki ianze kutumika mara moja. tokea hapo nimeshuhudia mabadiliko makubwa sana katika kuona sehemu...
  15. C

    Wanaomkwamisha Rais kwa sasa wamo Mawaziri, Wakuu wa mikoa..!!

    Sasa mtu anayetaka kuja kugombea ubunge 2020 tena arusha mjini na akiwa mkuu wa mkoa hivi sasa hapohapo anapotarajia kugombea ubunge inawezekana vipi akawa adui wa maendeleo?
Back
Top Bottom