ukisema tutumie gharama kubwa kuutngaza utalii na wakati huku ndani ya nchi miundo mbinu ya kufika kwenye hizo sehemu ili watalii wapelekwe haipo sawa. utakuwa tabularasa. miundo mbinu ya hotels barabara bado sio rafiki. taasisi zinazosimamia utalii zenyewe ni mkanganyiko haileweki nani ni nani...
katika watu au viongozi ambao sijawahi kuwakubali na wala siwaelewagi hapa tanzania ni huyu boya hamna kitu kabisa humo. magu alikuwa na akili sana kulipiga benji tabularasa
we ukitaka kujua kuwa sio bahati mbaya baada ya soko kuungua waliounguliwa na vitu wakitaka kurudi kujenga upya vibanda vyao, wanakatazwa jiulizwe kwanini wakatwaze huku sababu ikiwa eti uchunguzi haujakamilika baada ya mda anapewa mkandarasi linajengwa jengo lingine tofauti na lilikuwepo mwanzo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.