Wanajamvi habari za muda huu,
Bila kuwapotezea muda niende direct kwenye mada husuka, huyu bidada tulikuwa katika mahusiano naye miaka 8 iliyopita na nikimuacha baada ya kumfumania analiwa na mume wa mtu, aliomba sana msamaha bila mafanikio na nili mtema jumla.
Harakaharaka mwaka unao fuata aliolewa kwa harusi kubwa na kwa makusudi alisambaza picha kila mahali na niliona wala haikunisumbua coz tayari na mimi nilisha kuwa katika mahusiano mengine.
Juzi Mara paaa, no mpya, kuuliza nani kajitambulisha, nikamuuliza nikusaidie nini kaanza oooh, Kuna watu nataka kuunganisha nao Wana shida ya ..., Kataja kazi ninayo fanya mm, nikamwambia asante nashukuru, nikampa maelekezo.
Kesho yake asubh kasalimia, Mara mchana salamu, Mara kila lisaa sasa haipiti hajanitafuta na watu aliyosema wa biashara siwasikii tena,
Mawazo yenu jamani huyu mtu nimfanyaje?
Bila kuwapotezea muda niende direct kwenye mada husuka, huyu bidada tulikuwa katika mahusiano naye miaka 8 iliyopita na nikimuacha baada ya kumfumania analiwa na mume wa mtu, aliomba sana msamaha bila mafanikio na nili mtema jumla.
Harakaharaka mwaka unao fuata aliolewa kwa harusi kubwa na kwa makusudi alisambaza picha kila mahali na niliona wala haikunisumbua coz tayari na mimi nilisha kuwa katika mahusiano mengine.
Juzi Mara paaa, no mpya, kuuliza nani kajitambulisha, nikamuuliza nikusaidie nini kaanza oooh, Kuna watu nataka kuunganisha nao Wana shida ya ..., Kataja kazi ninayo fanya mm, nikamwambia asante nashukuru, nikampa maelekezo.
Kesho yake asubh kasalimia, Mara mchana salamu, Mara kila lisaa sasa haipiti hajanitafuta na watu aliyosema wa biashara siwasikii tena,
Mawazo yenu jamani huyu mtu nimfanyaje?