Yote sawa!
Mi nnachoshangaa ni kwanini ccm inasymphathise na zitto na inamtetea!!
Why?????
wana uchungu gani nae!!
Ili kwamba aendelee kuwa na nyazifa zake cdm!!
Ningemshauri abaki tu kuwa mwanachama wa Chadema aachane na mambo ya uongozi!
Pia akabiliane kiume na changamoto zinazomkabili as long as no man is perfect!
Yaan najuuuta this watsapp thing mme wangu anacontanct na wanawake tuu mpk midnight, hatuna ht muda wa kujadili yetu ni watsapp mwanzo mwisho!!
Hlf mi nikigusa ni balaa bin ugomvi! Asante sana mtoa mada!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.