pole sana kwa kazi nzito iliyopo mbele yako,,, kwa vile yameshatokea tafuta njia ya kusovu! na wala usijilaumu! tl una chance ya kumconvice mchumba wako na akakuelewa,,,! tumia convincing power yako yote uliyonayo! ucichelewe kwani jambo litakuwa zito zaidi! bt next tyme kuwa makini