Mjenda Chilo
JF-Expert Member
- Jul 20, 2011
- 1,467
- 513
Nasikia kameshatoka wenye uhakika watujuze. Toka Mgimwa ateuliwe mshahara ni tar 40. Bora mwizi anaejali njaa ya mwenye mali kuliko mwizi mkomba mboga
Hahahahahahaha. U made my day . Nimeku miss cacico
kwa kunisaidia tu naomba utoe hiyo picha maana naelekea kutapika!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!keep away from elephant and giraffe
Wanajiandaa kupeleka wanajeshi Congo kupambana na M23, na Membe alisema hawahitaji msaada wa mtu yeyote kupeleka battalion moja huko mashariki mwa Congo kwani watatumia pesa zao wenyewe. Jiulize hizo pesa wanazitoa wapi na je hiyo budget walikuwa nayo?
Inabidi mishahara ichelewe kidogo, teh...
.Your genius.etc geniusOf all people, you take Mr. PM's word?!