Recent content by Cheko Lamhenga

  1. C

    Sasa Katavi kupata Umeme wa uhakika wa Grid ya Taifa

    Matumizi ya umeme wa mafuta yamefika ukigoni chereko kwa wana Katavi
  2. C

    Tundu Lissu: Sitarudi tena Tanzania hadi nihakikishiwe Usalama wangu

    Ok ndiyo maana ameamua kusema haji mpaka wamuhakikishie usalama wakati huko nyuma alisema atakuja na Serikali ya Magufuli itamlinda. Ameona maadui zake wako ndani mwake.
  3. C

    Kutosajili laini ya Simu kutozwa faini ya Tsh milioni 5 au kifungo cha mwaka mmoja jela

    Kweli hapa tutasajili bila kupenda. JAMANI TUHAMASISHANE KUSAJILI KUEPUKA KUTOA MAHELA AU KUFUNGWA.
  4. C

    Waenda mahakamani kuomba kufutwa kwa ukomo wa Urais. Wadai ukomo unazuia maendeleo. Ni mkakati wa kufanya urais usio na mwisho Tanzania

    Wanatafuta nini wakati katiba yetu hairuhusu na waliopo madarakani wameshasema wataachia
  5. C

    Rais Magufuli azungumza na Watendaji Kata nchi nzima

    Tunamshukuru Mhe. Rais kwa kuwakumbusha majukumu yao hawa ndugu zetu.
  6. C

    Polisi wazuia mikutano ya Mbowe katika jimbo lake kutokana na ziara za DC Sabaya

    Anamsiba hata kama angeruhusiwa asingeweza kufanya
  7. C

    Baadhi ya wanyama wahamishiwa hifadhi ya Burigi

    Mmmmhhhh hapo umezidisha Ikulu itaenda Dodoma na siyo huko unakosema.
  8. C

    Kuhamishia wanyama huko Burigi: Neema kwa Rwanda

    Naona unatafuta namna ya kutudanganya wanyama hawawezi kuvuka mto kagera tuongee mengine lakini siyo ya kuinufaisha Rwanda.
  9. C

    Bodi ya Mikopo inawaibia Watanzania

    Kwani saizi wanaorejesha mkopo wanakatwa asilimia ngapi?
Back
Top Bottom