Je, una ozoefu katika sekta ya usafirishaji na uchukuzi?
Kwa mfano: Tours, Taxi, Trucks, Daladala nk.
Je, unaweza kufanya kazi kama afisa masoko (part time) katika sekta hiyo au kuwa mshauri?
Tafadhali tuma number yako.
Je Una ozoefu katika sekta ya usafirishaji na uchukuzi?
Kwa mfano: Tours, Taxi, Trucks, Daladala nk.
Je unaweza kufanya kazi kama afisa masoko (part time) katika sekta hiyo au kuwa mshauri?
Tafadhali tuma number yako.
Hi Guys,
Je ofisi za DARCOBOA ziki wapi? na mnaweza kunisaidia number za maafisa wake nataka kuanzisha biashara ya Daladala.. Nikipata number Mwenyekiti (Said Mabrouk) au mtendaji wake nitashukuru.
Wana Jamii Forums,
Mimi Nina RAV 4 model ya 1999. Inatatizo la kutoa sauti ya kugonga nyuma kwenye maeneo ya kwenye diff ya nyuma, hasa ninapo-engage gear.
Je kuna mtu yeyote anafahamu solution ya Tatizo hilo? au kama unafahamu fundi mzuri please nipatie number yake.
Wana Jamii Forums...
Wana Jamii Forums,
Mimi Nina RAV 4 model ya 1999. Inatatizo la kutoa sauti ya kugonga nyuma kwenye maeneo ya kwenye diff ya nyuma, hasa ninapo-engage gear.
Je kuna mtu yeyote anafahamu solution ya Tatizo hilo? au kama unafahamu fundi mzuri please nipatie number yake.
Thanks
Mdau.
Hali zenu jamani. Nawatafuta International Correspondence Schools, Dar-es-salaam. Hawapatikani kwenye simu zao za Landline.
Nisaidie kunielekeza walipo.
Asanteni.
Chukua transcript yako tafuta vyuo vya nje, unaenda kumalizia mwaka wa mwisho bila tatizo. Wako watu wamefanya hivyo na sasa maisha yao ni mazuri sana. Pia unaweza kumalizia kwa distance learning kwenye hivyo vyuo vya nje. mifumo ya elimu ya nchi zetu haiko supportive sana.
Huo ndo ushauri...
Kakajambazi:
Ni jambo zuri ulilofanya kushikisha watu jambo hili. lakini naomba Forum imejaa mizaha sana. Naomba kukuuliza:
Je wewe ni mlokole?
Je, umeshawahi kusikia huduma kama vile New Life in Christ, Prayer action Tanzania, Vikundi mbali mbali vya maombi? au hata kanisani kwako. Could you...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.