Mafao ya NSSF yaliyo chini ya 15mil kama sikosei unalipwa ndani ya 30 days kwa sababu yana kuwa processed kwenye Branch husika,ila Zaidi ya hapo mpaka yawe approved Head office ndio maana ya hizo 90 days.
changamoto iliyo mbele yako ni kwamba walisitisha kutoa hiyo ya Fao la kujitoa pending to...
Labda Hauna taarifa sahihi. Budget tafuta budget mbili Za Mkwere kabla hajatoka madarakani, nilihudhuria kikao cha budget ya halmashauri, wakipelekewa only 20percent ya development expenditure, miradi yote ilisimama.Haya unayoyaona ni Matokeo.
Umekurupuka Sana, Hao huwa hawakurupuki. Kwanza saa hizi mtu ana mwaka mmoja tu madarakani, kaachiwa matatizo mengi anahangaika nayo na Bado anazidi kujifunza. Pamoja na matatizo Kwa mwaka mmoja amejitahidi. Hilo LA katiba Kama Huyo ndg yako aliyelianzisha akalitia mwenyewe Kapuni unataka Huyu...
Umewahi kusikia kamsemo kanakosema haki ya kusikilizwa? Mwandishi alikua sahihi kumuhoji mtuhumiwa.Huu Ulikua muda sahihi Kwa mtuhumiwa kusafisha jina lake.
Unajificha kwenye chaka la rohomtakatifu na chuki mlizokaririshwa dhidi ya Kanisa katoliki. Huo ufunuo uliosoma, unasema mwisho wa dunia utakapokaribia Kanisa la Kristo litaungana na kuwa moja. Ilimaanisha nini?
Ukiwa unauliza utajifunza. Iko hivi. Kuna kipindi kanisa liliwahi kupitia kipindi kigumu Sana. Kwani siasa ilichanganyika na Dini.Viongozi wa dini ilifikia wakati wanapewa nyadhifa za kisiasa na hata wanasiasa wanapewa baadhi ya nyadhifa kwenye dini. Sasa ilikuja kufikia kipindi wanasiasa wakawa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.