Tutakua tumeondoa vyeti feki serikalini.Halafu mkishajua anatumia cheti cha mtu ndio tutakuwa tumemaliza dawa za kulevya, kwa hiyo lengo ni kumuondoa madarakani ili asitaje watu, watanzania watu wa hovyo sana.
Kabisa, wanaonekana jinsi wanavyopenda rushwa na kusafisha vigogo hawako kabisa kwa jamii, jamii inateketea na madawa nyie mnahangaika kutafuta vyeti vya makonda kwa faida ya nani, kwa nn msifanye uchunguzi kuwahoji wauza unga!Sawa Paulo makonda ana matatizo yake lakini ili gazeti limeanza vita na makonda baada tu ya Manji kulala ndani
Kiukweli wamechemsha kabisaaa.Hahaha jamaa mlaini namna hii, sasa alifikiria nini kuwakosea watu heshima!? Hii laana itamtafuna mpaka aombe msamaha
Mkishsondoa vyeti feki na hayo madawa ya kulevya yatakuwa yameisha, na mbona mlikuwa kimya kipindi chote cha uhakiki mpaka tunakaribia kumaliza mlikuwa wapi, eti wanahaha kutafuta shule aliyosoma wakati sasa tuna tatizo la madawa ya kulevya.Tutakua tumeondoa vyeti feki serikalini.
Hawana jipya na hawako kwa maslahi ya wananchi, ni wachumia tumbo tu, badala kutatua tatizo la madawa ya kulevya wanahangaika na shule ya makonda.Kiukweli wamechemsha kabisaaa.
Sasa walikuwa wapi kuliza maswali hayo alipokuwa mkuu wa wilaya ya kinondoni.
Au hapo alikuwa siyo kiongozi.
Hapo ndipo utakapoona wandishi nao kumbe hawana jipya.
Muda unaongea.Kiukweli wamechemsha kabisaaa.
Sasa walikuwa wapi kuliza maswali hayo alipokuwa mkuu wa wilaya ya kinondoni.
Au hapo alikuwa siyo kiongozi.
Hapo ndipo utakapoona wandishi nao kumbe hawana jipya.
Tunatatua kotekote..kama msumeno unavyokata vile..!Hawana jipya na hawako kwa maslahi ya wananchi, ni wachumia tumbo tu, badala kutatua tatizo la madawa ya kulevya wanahangaika na shule ya makonda.
Kama watumishi wengine walifukuzwa kwa kufoji vyeti na yy itabid afukuzwe ili tuboreshe utendaji wa kazi serikaliniMkishsondoa vyeti feki na hayo madawa ya kulevya yatakuwa yameisha, na mbona mlikuwa kimya kipindi chote cha uhakiki mpaka tunakaribia kumaliza mlikuwa wapi, eti wanahaha kutafuta shule aliyosoma wakati sasa tuna tatizo la madawa ya kulevya.
Umewahi kusikia kamsemo kanakosema haki ya kusikilizwa? Mwandishi alikua sahihi kumuhoji mtuhumiwa.Huu Ulikua muda sahihi Kwa mtuhumiwa kusafisha jina lake.Yaani Mange Kimambi anaweza kupata taarifa nyeti kuliko waandishi wengi wa Tanzania. This is shameful. Unakwenda kumwuliza mhusika kuhusu issue yake mwenyewe unataka kupata ukweli gani? what does investigative journalism mean to you???
Mbona kabla ya vita ya madawa hakuwahi kusemwa na inaonekana kumbe mnajua kila kitu?Kama watumishi wengine walifukuzwa kwa kufoji vyeti na yy itabid afukuzwe ili tuboreshe utendaji wa kazi serikalini