Naona mahakama inataka kurefusha shauri. Hii kitu ipo wazi na wala haina haja ya kuanza kurumbana mahakamani. Sijui kwa sheria zetu zimekaaje lakini kwa akili ya kawaida, mali isiyo ya marehemu haihusiki katika mirathi ya marehemu. Yaani huwezi kurithi kisicho halali yako!
Hapa dawa ni kulipwa mishahara kupitia dirishani. Haiwezekani mtu alazimishwe kupata haki yake ya mshahara halafu hiyo njia iwe na vigingi vingii ambavyo vinapunguza pato lake!
Ila ukae ufahamu nao wako makini sana kwenye suala la maslahi ya Marekani. Iwapo maslahi ya Marekani yapo mashakani wanafanya spinning. Nao pia ni kama popo. Tizama hivi sasa, hata Trump afanye jema hawampi airtime, Urusi au Putin hata wafanye kizuri hawatangazi, Iran hata wafanye jema...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.