naweza kukupa sababu mbili kuu.
moja. kikwete kwa nafasi yake hata mkewe au mwanae anaweza asimuone ktk tukio kubwa vile
mbili. kikwete na EL si wa kutoelewana kiasi hicho, amablo wewe na mm hatujui kikwete na el nyuma ya pazia
wanaweza kuwa mabest sana
unatuelimisha sana kwa hili na mengine niliyosoma, ila kwa hili inaonyesha kwamba ni syndrom imekuwa ikikutesa sana wakati fulani, Hii ni saikologia kwa hiyo nimegundua wwe mkuu MziziMkavu una au ulikuwa na shida hii,
sasa! kwa nini ulikuwa ukichukia watu wengine?
kwa nini ulikuwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.