Hivi ni Itifaki au kuna kingine?
Leo akisalimia wageni waalikwa kwa kushikana nao mikono na kila mmoja, lkn hakumpa mkono Lowassa pamoja na Lowassa kupenyeza mkono lkn JK 'hakuuona'.
Wakati JK anarudi baada ya kumaliza kusalimiana akirudi kuketi, Lowassa alimpungia JK lkn kwa 'bahati mbaya' JK hakumuona!
GTs, tukio hili ni la Kiitifaki au ndio mtifuano wa kimaslahi na kimakundi ndani ya CCM?
this is ridiculous. Umeshasema hakumwona. Sasa angemsalimuje au kujibu kule kupunga kwake? Hivi umesahau kuwa hakukutana barabarani and whatever has happened ilikuwa ni ajali ya kisiasa? Acha uchokonozi. Kumbuka Waarabu wa Pemba hujuana kwa vilemba vyao. Upo?