Wanajamvi habari?
Nimewahi kufanya makosa ya barabarani na kuandikiwa kulipa fine ya 30,000 mara tatu kwa nyakati tofauti. Lakini kutokana na sababu mbalimbali sijaweza kulipa mpaka hivi sasa.
Sijui natakiwa kulipa kiasi gani kwani nasikia ipo interest inayoongezeka na sijui namna ya kulipa...
Unataka tujadili Sheria ya Tumaini ambayo imetoa first class zaidi ya 200 wakati hata miaka 20 haijafika toka kuanzishwa kwake? Tuache tujadili kitivo kongwe na nguli cha sheria.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mafanikio ni zaidi ya pesa ndugu.
James Orenga ni mwanasiasa na mwanasheria machachari nchini Kenya. Ni kigogo wa NASA.
Sent using Jamii Forums mobile app
Habari viongozi? Ni muda kitambo nimekuwa nikifuatilia kujua historia ya chuo kikuu cha Dar es salaam kujua watu waliofanya vizuri zaidi katika kitivo kongwe cha sheria. Kwa ufuatiliaji wangu nimebaini waliopata daraja la kwanza (first class) toka shule hiyo inaanzishwa 1961 ni watu 15.
Wa...
Habari wakuu.
Niliwahi kuomba ushauri hapa kuwa nimehangaika sana kutafuta mtoto wa kiume bila mafanikio.
Rejea Uzi Wangu >> Nimetafuta mtoto wa kiume bila mafanikio. Nifanyeje?
Nashukuru sana kwamba nimefanikiwa baada ya kufuata ushauri wenu hasa ule wa kalenda ya kichina > Chagua jinsia ya...
Wakuu habari? Nimekuwa nikitafuta sana kamusi ya kiswahili yenye kutoa maana zaidi ya moja katika kila neno. Kwa lugha ya kingereza kamusi hii inaitwa "thesaurus dictionary".
Je, kuna yeyote anayeifahamu hata moja. Kama ipo, inapatikana wapi?
Natanguliza shukurani!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.