Kunywa pombe zilizopikwa kwa Afya yako:
Vodca ni sawa na Gongo utaharibu viungo vya ndani ya mwili kama Figo, Ini, Bandama, Moyo nk.
Kunywa Safari laga kwa Afya
Safari moja unatakiwa uinywe kwa lisaa limoja na sio kubugia nyingi kwa wakati mchache:
Na uwe ushapiga Supu au Nyamachoma hasa ya ka...
Wewe unaleta mada, ukiulizwa unakimbilia Google au wajibu wengine:
Kama ulivyosema hujui mambo ya Mungu basi waachie wengine hizo mada
Sio za saizi yako:
Kwa msaada wa Google
Hiyo Site inaandikwa na watu wenye mtazamo tofauti, wako wanaoandika humo kwa mahitaji Yao:
Wale wanaomlinganisha Isa na Yesu pia wako humo:
Soma ili ujitegemee mwenyewe?
Usharuka
Mimi ninayo nyumbani Biblia iliyoandikwa kwa Lugha ya Kiarabu na naijua lugha ya Kiarabu
Allah ni Jina la Mungu wa Qurani?
Kwa lugha ya Kiarabu Neno Mungu linatamkwa il-lah;
illah:
Hata kiapo chako hukijui kinasemaje
Hakuna Mungu ila Allah
ni sawa na kusema
Hakuna Mungu ila Mungu ...
Wacha Taqqiya
There is no God but Allah
hapo ni sawa nimesema
There is no God but God?
Kwa Kiarabu Mungu anaitwa il-lah = illah
La illah ila Allah = Hakuna Mungu isipokuwa Allah
Biblia ya Kiarabu Haina Jina la Allah: Ina Jina la illah likimaanisha Mungu;
Tushawashitukia na Taqqiya zenu labda...
Simba wanamwacha Kante wanamchukua Bajeeber kweli?
Ndio maana Sele Mwalimu ameomdoka;
Mnakasajiri kale kafupi ka Kalesto kanarukaruka tu:
MO hawezi kwa sasa kuisaidia Simba
Kila mchezaji mzuri Yanga wanamchukua
Yeye anamsajiri DUMBIA
alimwona wapi DUMBIA? hata kukimbia hawezi
Pumbaf sana
Yanga walikuwa watufunge goli tatu:
Yaani naangalia mpira hadi Naona Aibu
Simba wanacheza kama watoto wa chekechea
Wacha wachukue ubingwa mara Sita
Ni haki Yao sana
Watu sasa hivi wanaowana kwa faida na sio umbile au Sura:
Hapo Kuna Akili na Mali ukichanganya yanakuja mafanikio ya Moja kwa Moja automatically:
Watoto wa mama mdogo wanasema mtu anaoa kutokana na
Nasaba ya Mwanamke
Mali za Mwanamke
Sura ya Mwanamke na
Dini ya Mwanamke
Jinga sana hiyo mijitu
Dini ya kuletewa kwenye jahazi inawatoa akili zote yanabaki kama mabox tu:
Raisi wa Burki na Faso anayanyoosha sana sasa hivi:
Tukiwaambia Majini sio viumbe wazuri hata kidogo mnakanusha,
Yakisha kupagawa yanakutoa fahamu zote
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.