Hakuna mtu masikini
Ni kwamba amekosa tu mwongozo sahihi:
Kutoka familia ya kawaida
Utajiri ni kujifunza, kubuni mradi na kujituma kwa bidii tu;
Na sio kusoma chuo:
Matajiri wengi hawajamaliza Chuo:
Tena wenye hadhi ya Dunia:
Ukimpata mke mtulivu na mkashauriana vema kufanya mradi Fulani wa...
Si unafanya utafiti kwa Ndugu na Jirani zake:
Mbona ni Simple tu:
Wako wanawake warembo sana na ni wife materials na ni wengi tu:
Wapo mjini na vijijini:
Na Wana Bikra mpya kabisa:
Tatizo wanamume Wana haraka sana na kutaka kusaidiwa:
Kuna wanawake warembo sana na wazuri kitabia na kama...
Hawezi
Anamtaka aliyemzidi pesa tu na sio elimu:
Wanatukubali ili pamoja na mengine tuwahakikishie tuta waghalamia mambo Yao:
Ndio maana Karubandika alikataliwa:
Hata akiwa na pesa, hiyo ni kwa ajiri ya familia yake yaani Ndugu zake na mapambo yake:
Atakapo kukuzidi kipato au pesa atakumwaga...
Wanawake hawashawishiwi na Sura Wala Umbo:
Wanashawshiwa na
Usalama wao, pesa na hifadhi yako:
Wanashawishiwa na
Upendo wako kwao na heshima Yao kwao:
Wanashawishiwa na Nguvu zako za Kiume
na
Mipango yako ya maisha Bora ya baadae:
Ndio maana msichana mdogo anampenda mwanamume mzee mzima kwa...
Wewe unamtafuta nani kwanza tuanzie hapo:
na wote wanahitaji uwe na pesa yako ili uwashawishi wakukubalie takwa lako:
Ulisha usikia wimbo wa Karubandika?
Ukiwa Karubandika humpati yeyote yule:
Na akina Karubandika ni wanamume tu:
Hakuna Karubandika mwanamke
Wacha vituko vyako
Sisi pamoja na kupata elimu tunarudi nyumbani kijijini na kuwaona wasichana warembo haswaaa na wameishia dalasa la 7 au form 4 au 6:
Na tunaamua kuwaoa kwa kuwa tunawapenda sisi na sio kupendwa na wao:
Na tunawaleta mjini na kufurahia ndoa zetu:
Mwanamke hata awe na pesa ni yake na familia yake...
Kutongoza na kumpa hela Mwanamke ndio furaha yetu sisi wanamume jasiri:
Tafuta pesa wewe Dogo
furaha ya Dunia kwa wanamume
ni
Wine
Women
Wife
and
Money
WWWM
Kama huna uwezo wa kuvipata hivyo, jihesabie kuwa wewe ni maskini wa kutupwa yaana ni kapuku na huna Audacity ya kuongea mbele ya wababe wa...
Kwahiyo
unatafuta dating au kusaidiwa pesa?
kama dating yako tafuta msichana Mrembo ufurahie maisha yako:
kama unatafuta unafuu wa maisha Kuna wanawake watakupa pesa ili wakudeti wewe;
Jinga sana wewe
tafuta hela ili uweze kutongoza Mwanamke unayempenda wewe:
Kama hula hela utatongozwa wewe na...
Ifike mahali Raisi wetu sasa akatae hizo Shahada:
Mbona Maraisi Wazungu sioni wakivikwavikwa hizo Shahada?
Zina msaada Gani kwa Taifa?
Mi Naona kama wanatusanifu watu weusi:
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.