Recent content by Che mittoga

  1. Che mittoga

    JamiiForums Tanzania UNAMKANA ALLAH, LAKINI UNAJIITA MWANA ADAM?

    Kunywa pombe zilizopikwa kwa Afya yako: Vodca ni sawa na Gongo utaharibu viungo vya ndani ya mwili kama Figo, Ini, Bandama, Moyo nk. Kunywa Safari laga kwa Afya Safari moja unatakiwa uinywe kwa lisaa limoja na sio kubugia nyingi kwa wakati mchache: Na uwe ushapiga Supu au Nyamachoma hasa ya ka...
  2. Che mittoga

    JamiiForums Tanzania UNAMKANA ALLAH, LAKINI UNAJIITA MWANA ADAM?

    Mimi wapi nimewataja Wakristo na Waarabu ? Lete hapo nilipowataja nipaone Wewe ni Mdini Wadini wengi hawajitambui; Mimi ni Mwarabu Mkristo:
  3. Che mittoga

    JamiiForums Tanzania UNAMKANA ALLAH, LAKINI UNAJIITA MWANA ADAM?

    Umejuaje kama sijawahi fika Uarabuni ? Kitu usicho kijuwa ni sawa na usiku wa giza Totoro: Agiza soda unywe nitalipa
  4. Che mittoga

    JamiiForums Tanzania UNAMKANA ALLAH, LAKINI UNAJIITA MWANA ADAM?

    Wewe unaleta mada, ukiulizwa unakimbilia Google au wajibu wengine: Kama ulivyosema hujui mambo ya Mungu basi waachie wengine hizo mada Sio za saizi yako:
  5. Che mittoga

    JamiiForums Tanzania UNAMKANA ALLAH, LAKINI UNAJIITA MWANA ADAM?

    Allah Jina lake ni nani Miungu Iko mingi sana Mungu ambayo ni sawa na Allah anaitwaje?
  6. Che mittoga

    JamiiForums Tanzania UNAMKANA ALLAH, LAKINI UNAJIITA MWANA ADAM?

    Jina la Allah ni Gani ? Allah anaitwaje ? iulize Google Tena
  7. Che mittoga

    JamiiForums Tanzania UNAMKANA ALLAH, LAKINI UNAJIITA MWANA ADAM?

    Kwa msaada wa Google Hiyo Site inaandikwa na watu wenye mtazamo tofauti, wako wanaoandika humo kwa mahitaji Yao: Wale wanaomlinganisha Isa na Yesu pia wako humo: Soma ili ujitegemee mwenyewe?
  8. Che mittoga

    JamiiForums Tanzania UNAMKANA ALLAH, LAKINI UNAJIITA MWANA ADAM?

    Mi nitumie Ai kukujibu kwani sijaenda Shule? Kama mada huna uelewa nayo ni Bora unyamaze kijana: Waachie wenye ujuzi nayo:
  9. Che mittoga

    JamiiForums Tanzania UNAMKANA ALLAH, LAKINI UNAJIITA MWANA ADAM?

    Usharuka Mimi ninayo nyumbani Biblia iliyoandikwa kwa Lugha ya Kiarabu na naijua lugha ya Kiarabu Allah ni Jina la Mungu wa Qurani? Kwa lugha ya Kiarabu Neno Mungu linatamkwa il-lah; illah: Hata kiapo chako hukijui kinasemaje Hakuna Mungu ila Allah ni sawa na kusema Hakuna Mungu ila Mungu ...
  10. Che mittoga

    JamiiForums Tanzania UNAMKANA ALLAH, LAKINI UNAJIITA MWANA ADAM?

    Wacha Taqqiya There is no God but Allah hapo ni sawa nimesema There is no God but God? Kwa Kiarabu Mungu anaitwa il-lah = illah La illah ila Allah = Hakuna Mungu isipokuwa Allah Biblia ya Kiarabu Haina Jina la Allah: Ina Jina la illah likimaanisha Mungu; Tushawashitukia na Taqqiya zenu labda...
  11. Che mittoga

    JamiiForums Tanzania FT | Yanga SC 1-0 Simba SC | Ngao ya Jamii | New Amaan Complex | 12.08.2026 | Yanga mabingwa

    Simba wanamwacha Kante wanamchukua Bajeeber kweli? Ndio maana Sele Mwalimu ameomdoka; Mnakasajiri kale kafupi ka Kalesto kanarukaruka tu: MO hawezi kwa sasa kuisaidia Simba Kila mchezaji mzuri Yanga wanamchukua Yeye anamsajiri DUMBIA alimwona wapi DUMBIA? hata kukimbia hawezi Pumbaf sana
  12. Che mittoga

    JamiiForums Tanzania FT | Yanga SC 1-0 Simba SC | Ngao ya Jamii | New Amaan Complex | 12.08.2026 | Yanga mabingwa

    Yanga walikuwa watufunge goli tatu: Yaani naangalia mpira hadi Naona Aibu Simba wanacheza kama watoto wa chekechea Wacha wachukue ubingwa mara Sita Ni haki Yao sana
  13. Che mittoga

    JamiiForums Tanzania Mfahamu Isaya Yunge, Kijana wa Kisukuma, mzaliwa wa Mwanza na mtaalamu wa IT anayemwoa binti wa Rais Ruto

    Watu sasa hivi wanaowana kwa faida na sio umbile au Sura: Hapo Kuna Akili na Mali ukichanganya yanakuja mafanikio ya Moja kwa Moja automatically: Watoto wa mama mdogo wanasema mtu anaoa kutokana na Nasaba ya Mwanamke Mali za Mwanamke Sura ya Mwanamke na Dini ya Mwanamke
  14. Che mittoga

    JamiiForums Tanzania Sheikh Lema ahukumiwa kunyongwa kwa kosa la ugaidi

    Jinga sana hiyo mijitu Dini ya kuletewa kwenye jahazi inawatoa akili zote yanabaki kama mabox tu: Raisi wa Burki na Faso anayanyoosha sana sasa hivi: Tukiwaambia Majini sio viumbe wazuri hata kidogo mnakanusha, Yakisha kupagawa yanakutoa fahamu zote
Back
Top Bottom