Recent content by Che mittoga

  1. Che mittoga

    JamiiForums Tanzania Mkasa: Wema ni akiba, usiache kutenda wema

    Kimya
  2. Che mittoga

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Waepuke wanawake masikini

    Hakuna mtu masikini Ni kwamba amekosa tu mwongozo sahihi: Kutoka familia ya kawaida Utajiri ni kujifunza, kubuni mradi na kujituma kwa bidii tu; Na sio kusoma chuo: Matajiri wengi hawajamaliza Chuo: Tena wenye hadhi ya Dunia: Ukimpata mke mtulivu na mkashauriana vema kufanya mradi Fulani wa...
  3. Che mittoga

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Waepuke wanawake masikini

    Si unafanya utafiti kwa Ndugu na Jirani zake: Mbona ni Simple tu: Wako wanawake warembo sana na ni wife materials na ni wengi tu: Wapo mjini na vijijini: Na Wana Bikra mpya kabisa: Tatizo wanamume Wana haraka sana na kutaka kusaidiwa: Kuna wanawake warembo sana na wazuri kitabia na kama...
  4. Che mittoga

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Waepuke wanawake masikini

    Hawezi Anamtaka aliyemzidi pesa tu na sio elimu: Wanatukubali ili pamoja na mengine tuwahakikishie tuta waghalamia mambo Yao: Ndio maana Karubandika alikataliwa: Hata akiwa na pesa, hiyo ni kwa ajiri ya familia yake yaani Ndugu zake na mapambo yake: Atakapo kukuzidi kipato au pesa atakumwaga...
  5. Che mittoga

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Waepuke wanawake masikini

    Wanawake hawashawishiwi na Sura Wala Umbo: Wanashawshiwa na Usalama wao, pesa na hifadhi yako: Wanashawishiwa na Upendo wako kwao na heshima Yao kwao: Wanashawishiwa na Nguvu zako za Kiume na Mipango yako ya maisha Bora ya baadae: Ndio maana msichana mdogo anampenda mwanamume mzee mzima kwa...
  6. Che mittoga

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Waepuke wanawake masikini

    Wewe unamtafuta nani kwanza tuanzie hapo: na wote wanahitaji uwe na pesa yako ili uwashawishi wakukubalie takwa lako: Ulisha usikia wimbo wa Karubandika? Ukiwa Karubandika humpati yeyote yule: Na akina Karubandika ni wanamume tu: Hakuna Karubandika mwanamke Wacha vituko vyako
  7. Che mittoga

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Waepuke wanawake masikini

    Sisi pamoja na kupata elimu tunarudi nyumbani kijijini na kuwaona wasichana warembo haswaaa na wameishia dalasa la 7 au form 4 au 6: Na tunaamua kuwaoa kwa kuwa tunawapenda sisi na sio kupendwa na wao: Na tunawaleta mjini na kufurahia ndoa zetu: Mwanamke hata awe na pesa ni yake na familia yake...
  8. Che mittoga

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Waepuke wanawake masikini

    Unahaha kutafuta demu ili akusaidie wewe badala ya wazazi na familia yake: Hivi huoni Aibu na fedheha kwako? Nenda katongoze Benki
  9. Che mittoga

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Waepuke wanawake masikini

    Kutongoza na kumpa hela Mwanamke ndio furaha yetu sisi wanamume jasiri: Tafuta pesa wewe Dogo furaha ya Dunia kwa wanamume ni Wine Women Wife and Money WWWM Kama huna uwezo wa kuvipata hivyo, jihesabie kuwa wewe ni maskini wa kutupwa yaana ni kapuku na huna Audacity ya kuongea mbele ya wababe wa...
  10. Che mittoga

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Waepuke wanawake masikini

    Kwahiyo unatafuta dating au kusaidiwa pesa? kama dating yako tafuta msichana Mrembo ufurahie maisha yako: kama unatafuta unafuu wa maisha Kuna wanawake watakupa pesa ili wakudeti wewe; Jinga sana wewe tafuta hela ili uweze kutongoza Mwanamke unayempenda wewe: Kama hula hela utatongozwa wewe na...
  11. Che mittoga

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Waepuke wanawake masikini

    Nimekuuliza unatafuta Hawala shortime mke mfanyabiashara mwenzako au msichana unaye mpenda wewe? Au Mwanamke wa kutatua changamoto zako?
  12. Che mittoga

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Waepuke wanawake masikini

    Hapo unatafuta Business pertiner, au Mke Mrembo wa Kumwoa na kufurahia maisha yako? Au Hawala? Be specific
  13. Che mittoga

    JamiiForums Tanzania Ile shahada yagoma kukaa Kichwani kwa Samia Suluhu, Yadondoka Chini. Warusi Waduwaa🤣🤣

    Ifike mahali Raisi wetu sasa akatae hizo Shahada: Mbona Maraisi Wazungu sioni wakivikwavikwa hizo Shahada? Zina msaada Gani kwa Taifa? Mi Naona kama wanatusanifu watu weusi:
  14. Che mittoga

    JamiiForums Tanzania Mkasa: Wema ni akiba, usiache kutenda wema

    Safi
Back
Top Bottom