Habari wapendwa, nahitaji kumiliki gari aina ya Toyota Noah. Naona ndiyo inayonifaa kwaajili ya kuendesha mishemishe zangu.
Ningependa kwa yeyote ambae anafaham chochote kuhusu gharama za kuagiza hiyo gari na kodi zote tafadhali nijuze
Sina risiti, lakini miamala niliyokuwa nikimtumia kwenye namba yake nina uhakika nikienda kwenye ofisi za mtandao ninaotumia nitapata statement ya miamala yote niliyokuwa nikiituma kwenda kwenye namba yake. Uzuri namba yake hajawahi kubadilisha, na mimi pia sijawahi kubadilisha
Amekomaa kabisa anasema " mtoto sio wako ,kama unabisha kapime DNA"... yaan kiufupi alikuwa anafanya kusudi kuniingizia gharama huku akijua mtoto sio wangu. Pia japo mtoto hajafanana na mimi kwa sura, ilikuwa ngumu mimi kumtilia shaka, mana mtoto kafanana na mama yake copy kabisa,, so nikaona...
Mkuu hii kitu inatia hasira sana, usipojizuia unaweza jikuta hata umeua mtu. Imagine nimehudumia kwa kipindi chote hicho, alaf sasahivi anakuja kuniambia kuwa mtoto sio wangu, tena ananijibu kwa nyodo kabisa😡😡
Habari zenu wadau!, nahitaji ufafanuzi kidogo hapa, nilikuwa na Girlfriend wangu ambaye alipata ujauzito na kuniambia kwamba ni ujauzito wangu. Tangu hapo niliamua kwa upendo tu kumhudumia katika kipindi chote cha ujauzito hadi alipojifungua. Japo sikuwa naishi nae lakini nilimpatia mahitaji...
I have completed my advanced secondary education with the following scores
Physics- C
Biology- C
Chemistry- C
Basic applied mathematics -B
General studies -D,,i need a sponsorship to study a diploma in clinical officing
Nimemaliza kidato cha 6, nahitaji udhamini wa kimasomo. Nahitaji kusoma diploma in clinical officing.. Ufaulu wangu ni
Biology-C
Chemistry-C
Physics-C
Basic applied mathematics-B
General studies-D
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.