Nimeanza kupata dalili za genital warts sehemu za siri kwenye shina la uume kuota vinyama (visundo sundo vidogo), nimejaribu dawa lakina bado sijapata matokeo mazuri.
Je, ni dawa gani inaweza nisaidia nikapona tatizo la genital warts, kwa wake ambao mshapatwa na tatzo hili mlitumia dawa gani...
Imekua biashara ngum coz matamasha ya bure yamekua mengi hasa haya ya kiserikali kumuona msanii wako mkoani kila Mara utamuona jukwaa la chama ama shughuli ya kiserikali so linapokuja tamasha la kingilio 10k alafu juzi msanii uyo uyo umemuona bure inapunguza vibe ya kwenda kumuamgalia na hasa...
kwenye mzigo wako ongeza balbu
mashine za kunyolea ndevu
dawa za meno Kama colget whitedent
oyaa mzeee utajiongeza na vingne kulingana na uhitaji wa solo lako
nenda kwenye maduka ya jumla hapo mjini chukua vitu Kama makufuli dozen kadhaa unaweza chukua kwa dozen elf 14000 we utaenda uza kwa dozen elf 16 had 17
chukua Big g za jumla ongeza na pipi kila aina
mikasi
nyembe
super black
Sox za shule na za kawaida
miswaki.
yaan unadili na vitu Kama...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.