Recent content by chawala_jr

  1. chawala_jr

    Degree ya sasa imechuja kulinganisha na miaka ya nyuma

    Degree haijachuja kwa upande wangu ila mazingira yamebadilika.. kwa upande wa idadi ya watu wanaosoma elimu ya juu wamekuwa ni wengi mfano leo hii zaidi ya wanafunzi elfu 40 wamejiunga na masomo kwa mwaka 2017/2018.. ukilinganisha na miaka ya nyuma walikua wanafunzi elfu mbili au tatu unakuta...
  2. chawala_jr

    Je naweza kufundisha chuo kikuu?

    namimi naomba kuuliza hapo? sifa za kusoma masters ni G.P.A ya ngapi?
  3. chawala_jr

    First years na ulimbukeni wa kusoma udsm

    Alafu MD ilishafutwa UDSM kaka
  4. chawala_jr

    Nimewekeza kwenye mitiki inalipa, karibu tuwekeze

    Umelima kama eka ngapi na kutokana na eka ulizoanza nazo ulianza na mtaji kiasi gani? Sent using Jamii Forums mobile app
  5. chawala_jr

    Zile za zama za Barcelona zinaendea ukingoni

    Sent using Jamii Forums mobile app
  6. chawala_jr

    Uwekezaji katika secta ya kilimo unanafasi kubwa kutukomboa vijana kibiashara?

    Kumekuwa na tatizo kubwa la ajira nchini tanzania lakini je? Tatizo ni mfumo wetu wa elimu au sisi vijana kukosa ubunifu na uthubutu katika kujiajiri? Asilimia 75 ya watanzania nI vijana na katika nchi yetu tumejaaliwa kuwa na ardhi yenye rutuba ya kutosha. Wafanyabiashara wengi Mf. Mohamed...
Back
Top Bottom