Recent content by chawa mzee

  1. C

    Nimekata tamaa ya kuolewa, wenzangu wote wameolewa

    wewe Bado mdogo Sana kuanza kujikatia tamaa.. ni suala La muda tu. jitulize mwombe Sana mungu.. Kila kitu kitakuwa sawa... na ukijifanya unakimbizana na umri utajikuta unaparamia mtu asiye sahihi ili tu uendane na umri.. wallahi, utateseka ujute maisha!!! tulia kama ipo basi ipo tu.. UMENISOMA???
  2. C

    Enyi wanawake, hebu tuweni wastaarabu!

    huyo dume hajakaa Kimya.. mwanamke ataikuta Habari yake nyumbani
  3. C

    Je, ni kweli haya anayoniambia mchumba wangu?

    na ulisubiri nn hujamgegeda mpaka Leo???
  4. C

    Sasahivi wanaume tunaheshimiwa

    wale walozoea kula kwenye mifuko ya watu ndo wanapata shida...
  5. C

    Hodi JamiiForums

    mchezo gani tena??
  6. C

    Hodi JamiiForums

    afu nashindwa Ku quote na kujibu nifundishe pia
  7. C

    Hodi JamiiForums

    mchezo gani tena??
  8. C

    Nuh Mziwanda afunga ndoa

    aoe na atulie asilete drama kwenye ndoa
  9. C

    Hodi JamiiForums

    nikikuzoea kidogo tu Ntakujibu kama me ni ME au KE
Back
Top Bottom