Recent content by Chavah

  1. C

    Nahitaji kazi, ni mtaalam wa Nails, makeup and Hair

    Habari ya jumapili, bila shaka mu wazima. Mimi ni dada mchapakazi, Nina elimu ya masuala ya urembo ,namaanisha nails, makeup and hair. Natamani nifungue biashara lakini imekuwa shida kupata mtaji.kwa sasa nimeona itafute kazi ili niweze kukusanya pesa. Napenda kuchukua Fursa hii kuomba...
  2. C

    Salim Kikeke rasmi kwenda Crown TV

    Hivi nikitaka kuomba kazi crown tv/radio naonana na nani?mwenye uelewa anisaidie, nahitaji kujaribu bahati yangu, mm ni mtangazaji na Nilishawahu kufanya kazi kwenye media kubwa TU hapa Tanzania,. Mwenye uelewa anisaidie tafadhali. Au mwenye contact za Salim kikeke anisaidie nimtumie demo...
  3. C

    Naomba tafsiri ya ndoto hii, imekuwa ikijirudia mara kadhaa

    Habari za asubuhi, naomba mnisaidie waungana kama kutakuwa na mtu ana uelewa na ndoto. Ni mara kadhaa sasa nimekuwa nikiota nimeibiwa hereni zangu, nahitaji kujua maana ya hii ndoto. Inasemwa kwamba kila ndoto mtu anayoota inakuwa na maana, naomba msaada katika hili Asanteni.
  4. C

    Kuna ukweli wowote katika hili?

    Wewe ungekuwa unaziangalia tu hila ya yeye kujua Kama umesiangalia, unajua mtu kama ana lengo la kukuwejea status then usipoisoma anapata maumivu sana
  5. C

    Kuna ukweli wowote katika hili?

    Huyo x wako kiboko🤣🤣 mpaka amekuuliza kwa Nini huangalii
  6. C

    Kuna ukweli wowote katika hili?

    Mbaya zaidi alowekewa vijembe kwenye status anatumia GB Whatsapp 🤣 so hawezi jua kama kaona au la
  7. C

    Wanaume na wanawake wenye experience naomba mnijibu hili

    Kwa hiyo ndani ya huo mwezi mmoja unaweza ukafanya utaratibu wa kutaka Mpeleka kwenu, na uanze process,?
  8. C

    Wanaume na wanawake wenye experience naomba mnijibu hili

    Hivi inawezekana mwanaume akafahamiana na mwanamke ndani ya mwezi mmoja na mwanaume akagundua kwamba amepata mke?
Back
Top Bottom