Habari ya jumapili, bila shaka mu wazima. Mimi ni dada mchapakazi, Nina elimu ya masuala ya urembo ,namaanisha nails, makeup and hair. Natamani nifungue biashara lakini imekuwa shida kupata mtaji.kwa sasa nimeona itafute kazi ili niweze kukusanya pesa.
Napenda kuchukua Fursa hii kuomba...
Hivi nikitaka kuomba kazi crown tv/radio naonana na nani?mwenye uelewa anisaidie, nahitaji kujaribu bahati yangu, mm ni mtangazaji na Nilishawahu kufanya kazi kwenye media kubwa TU hapa Tanzania,.
Mwenye uelewa anisaidie tafadhali. Au mwenye contact za Salim kikeke anisaidie nimtumie demo...
Habari za asubuhi, naomba mnisaidie waungana kama kutakuwa na mtu ana uelewa na ndoto.
Ni mara kadhaa sasa nimekuwa nikiota nimeibiwa hereni zangu, nahitaji kujua maana ya hii ndoto.
Inasemwa kwamba kila ndoto mtu anayoota inakuwa na maana, naomba msaada katika hili
Asanteni.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.