Leo nimeenda kwenye kikao cha wazazi darasa la Saba, hakuna mzazi hata moja kaja na gari. Kuna kitu nimejifunza

Serikali imejenga shule nyingi karibu na makazi ya watu so ni pua na mdomo.
Magari ya nn mwendo wa sekunde 30
 
Na mie kikao hicho nilikuwepo nimegundua kitu kimoja wengi walikuwa wana chati kwenye simu zao nikagundua Wakati wa kujifanya nawahesabu kumbe nachungulia simu zao wengi walikuwa JF' ....... kati ya hao wachache sana Whtaspp!

Nikajua kuumbe humu wengi mko maskini sana! ila maneno meeengi!
 
Leo niliitwa shuleni kwenda kwenye kikao cha mjukuu wangu yupo darasa la Saba anataraji kufanya mtihani mwaka huu
Jumamosi na Kikao kikaisha mapema kabla ya saa sita.
.nikachukua baskeli yangu na kwenda kwenye kikao shuleni.nimefika nimechelewa sana ila kuna kitu nikawa najiuliza baada kufika pale nje

mbona hakuna ata gari moja ya mzazi na pikipiki baskeli na waenda kwa miguu
Pikipiki baiskeli na waenda miguu>wote ni Gari?
hii ilinipa mawazo na kuwaza mambo tofauti ata nilipoingia ndani wazazi tuliopo ni mavazi yetu tu yanakuoa jibu sisi wazazi namna gani mungu ibariki Tanzania wabariki na watu wake
Hilo juu ndio ulitaka leta-mawazo yako- sio uliloliona!

Kama kweli wewe ni Babu namwonea huruma mjuu wako!

Kama kweli wewe ulifika pale na hukuona "baiskeli,gari na waenda miguu" hata baiskeli yako- ulipofuka ghafla!

Kama hayo juu sio kweli, utuambie ulifikaje bila kuona.

Huo umasikini unaotaka kutuaminisha-ningekusii uuze simu yako, uache kulipia intaneti, na baiskeli yako ambayo wewe mwenyewe haukuiona kwenye pakingi uuze. Ununue gari.

Zaidi, ni porojo,kejeli zenye uhasama . Ni dhihaki

Pole Babu.
 
Sasa mimi niwe na uwezo wa kuhudumia gari alafu mtoto wangu akasome kayumba...ntakuwa mpuuzi sana, kuna raha watoto wakiwa wanaangalia channel za dstv za kizungu zile na wanaelewa sio azam tv
 
Leo niliitwa shuleni kwenda kwenye kikao cha mjukuu wangu yupo darasa la Saba anataraji kufanya mtihani mwaka huu.nikachukua baskeli yangu na kwenda kwenye kikao shuleni.nimefika nimechelewa sana ila kuna kitu nikawa najiuliza baada kufika pale nje mbona hakuna ata gari moja ya mzazi na pikipiki baskeli na waenda kwa miguu hii ilinipa mawazo na kuwaza mambo tofauti ata nilipoingia ndani wazazi tuliopo ni mavazi yetu tu yanakuoa jibu sisi wazazi namna gani mungu ibariki Tanzania wabariki na watu wake
Roho ya ufukara ipo kazini

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
Leo niliitwa shuleni kwenda kwenye kikao cha mjukuu wangu yupo darasa la Saba anataraji kufanya mtihani mwaka huu.nikachukua baskeli yangu na kwenda kwenye kikao shuleni.nimefika nimechelewa sana ila kuna kitu nikawa najiuliza baada kufika pale nje mbona hakuna ata gari moja ya mzazi na pikipiki baskeli na waenda kwa miguu hii ilinipa mawazo na kuwaza mambo tofauti ata nilipoingia ndani wazazi tuliopo ni mavazi yetu tu yanakuoa jibu sisi wazazi namna gani mungu ibariki Tanzania wabariki na watu wake
Shule gani hiyo umeenda babu?
 
Jumamosi na Kikao kikaisha mapema kabla ya saa sita.



Pikipiki baiskeli na waenda miguu>wote ni Gari?

Hilo juu ndio ulitaka leta-mawazo yako- sio uliloliona!

Kama kweli wewe ni Babu namwonea huruma mjuu wako!

Kama kweli wewe ulifika pale na hukuona "baiskeli,gari na waenda miguu" hata baiskeli yako- ulipofuka ghafla!

Kama hayo juu sio kweli, utuambie ulifikaje bila kuona.

Huo umasikini unaotaka kutuaminisha-ningekusii uuze simu yako, uache kulipia intaneti, na baiskeli yako ambayo wewe mwenyewe haukuiona kwenye pakingi uuze. Ununue gari.

Zaidi, ni porojo,kejeli zenye uhasama . Ni dhihaki

Pole Babu.
Umepaniki eeh mjukuu wangu pole sana
 
Ni muhimu sana kuwa na gari hata kama huliendeshi kila siku.

Gari lina umuhimu sana,hasa unapotaka kutoka usiku mfano kama ukiuguliwa au kutoka wakati wa mvua.

Hata uwe na pesa nyingi kiasi gani kama hauna gari wewe ni masikini tu,
Ye aseme tu hana uwezo aachane na maneno ya kujifariji
 
Kule kwengine wanaenda na fisi kabisa....hii nchi ina umaskini wa kutupwa, huwezi kushangaa watu kunga'anga'ania ugenini zaidi ya wiki mbili...
 
Omba Sana Mungu usiwe na mawazo kama ya mleta mada.

Kuamini kuwa kumiliki gari ndy kuyapatia maisha.

Mleta mada badilika akili,,

Nilidhani ungeumia zaidi ,,
kwamba wazazi wote mliohidhuria kikao shuleni ni wapangaji.

Hakuna mwenye nyumba hata mmoja.
Au kama anayo basi karithi kutoka kwa wazazi wake..
 
Tutakukumbuka Daima hayati John Joseph Pombe Magufuli, ungekuwepo baba leo tusingeuziwa mafuta lita 1 sh 7500. Mkojani anaupiga mwingi ulimwenguni sie tunavunja chawa tu mitaani baba.
 
Leo niliitwa shuleni kwenda kwenye kikao cha mjukuu wangu yupo darasa la Saba anatarajia kufanya mtihani mwaka huu. Nikachukua baskeli yangu na kwenda kwenye kikao shuleni. Nimefika nimechelewa sana ila kuna kitu nikawa najiuliza baada kufika pale nje, mbona hakuna hata gari moja ya mzazi na pikipiki baskeli na waenda kwa miguu.

Hii ilinipa mawazo na kuwaza mambo tofauti hata nilipoingia ndani wazazi tuliopo ni mavazi yetu tu yanakupa jibu sisi wazazi namna gani mungu ibariki Tanzania wabariki na watu wake
Yaani ulienda shule ya watoto na ukategemea magari yana soma hapo?
 
Tutakukumbuka Daima hayati John Joseph Pombe Magufuli, ungekuwepo baba leo tusingeuziwa mafuta lita 1 sh 7500. Mkojani anaupiga mwingi ulimwenguni sie tunavunja chawa tu mitaani baba.
Uliambiwa Magufuli ana kisima cha mafuta chaa kwake Chato?
 
Back
Top Bottom