Recent content by chaulah22

  1. chaulah22

    hati ya mashitaka na maelezo ya ph

    Nini cha kuzingatia pindi unasomewa PH
  2. chaulah22

    Kidato cha nne nikiwa na pass tatu naweza kusomea shahada?

    Umesomeka kaka mkubwa.....ila anyways tumuachie ndarichako
  3. chaulah22

    Kidato cha nne nikiwa na pass tatu naweza kusomea shahada?

    Sio kila 1 anaweza kwenda kusoma advance mkumbuke kuna watu wao ndio baba wao ndio mama, sio kila 1 anawez kwenda feza boys...ufahulu wa D4 me naona kabisa wanapromote wtt kufeli.ningewapenda nacte wangeliweka C4 au C3.tungeona watoto kama wanafeli huko mashuleni
  4. chaulah22

    Kidato cha nne nikiwa na pass tatu naweza kusomea shahada?

    Ha ha ha ukweli gan wastani wa ufahulu wa B 3 ukawa mkubwa kushinda wastani wa D4....hizi ni bange za hali ya juu...kwann anakuwa na sifa za kwenda A level
  5. chaulah22

    Kidato cha nne nikiwa na pass tatu naweza kusomea shahada?

    Unajua watu wanacho lalamika ni hivi nacte wanataka ufahulu wa D4 sawa wapo sahihi,lakini mtu mwenye ufahulu wa C3,ana point kubwa kushinda wa D4, harafu huo ufahulu wa D4 una promote ku feli kwa watoto wa kidato cha nne maana siku hizi wanasomea D4.
  6. chaulah22

    Kidato cha nne nikiwa na pass tatu naweza kusomea shahada?

    Mjomba o level ndio inapeleka degree kwa sasa[emoji1] [emoji1]
  7. chaulah22

    Kidato cha nne nikiwa na pass tatu naweza kusomea shahada?

    Ila nacte wanekosa ushauri tu,me sion haja ya kumbana mtu alie fikisha gpa
  8. chaulah22

    Kidato cha nne nikiwa na pass tatu naweza kusomea shahada?

    Wana roho mbaya nacte ata mwenye credit 3, wanamuacha....ila D4 wanachukua sijui ndio mapigo gan aya..[emoji1] [emoji1]
  9. chaulah22

    Naombe mnifahamishe ndungu zangu?

    Ila mwenye c 3 awezi kwenda chuo.....[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] si vituko hivi
  10. chaulah22

    Naombe mnifahamishe ndungu zangu?

    Chochote kile ngazi ya certificate,course za law au it
  11. chaulah22

    Naombe mnifahamishe ndungu zangu?

    Sawa boss,msaada katika hilo
  12. chaulah22

    Naombe mnifahamishe ndungu zangu?

    Hivi ni kwa nini mwanafunzi mwenye ufahulu wa pass 4 yaani DDDD,ana option ya kwenda chuo,lakin mwenye ufahulu wa Credit 3 yaani CCC ambazo zimebalance comb ana kibali cha kwenda advance ila kwenda chuo hana kibali? Hii imekaaje?
  13. chaulah22

    E Fm mbona mnakomalia suala la Bashite hivyo?

    Ukumbuki alicho fanywa boss wao
  14. chaulah22

    Ushauri kwa Mange Kimambi

    Yupo sahihi.....watu Kama hao inatakiwa wawepo ili maisha yaende
Back
Top Bottom