Inabidi uandike proposal ili ukafanywe utafiti why Lisu hakutajwa na mojawapo ya respondents uweke hao unaosema hawakumtaja. Utapata majibu sahihi. Otherwise wewe na Mimi hatutakuwa na majibu sahihi bali tutakuwa na majibu yanayotokana na hisia zetu tu.
Hizi huwa zinaitwa taarifa tata. Si za kufanyia kazi. Kama wapiga kura walikuwa 112, ilitakiwa tuone mchanganuo wa kura hizo zote. Mfano:
Jumla ya kura, kura zilizohsribika, mgawanyo wa kura zilizobaki kwa kila mgombea na kwahiyo mshindi wa kura za maoni ni yupi.
Kama ulichukua mkopo wa kusomea ni heri uanze kulipa kidogo kidogo hata 100,000 kwa mwezi. Kuna kitu kinaitwa charges for value retention fee na penalty ni balaa. Mfano Mdogo wangu alichukua mkopo wa around 8m na alihitimu 2015 lkn extra charges mpaka muda huu ni around 2.66m hivyo kupelekea...
Kurusha ndege hakuhitaji msomi kwa sababu kwa sasa kuna ndege zinazojiongoza au kujiendesha zenyewe. Kuna kijana alisoma diploma ya procurement tena form four alipata division four ya 24 lkn kwa sasa ni rubani mzuri tu huko Botswana.
Sent using Jamii Forums mobile app
Vyuo vikuu ( universities) baadae zitazuiliwa kutoa cheti na diploma. Hizi kozi zitabaki vyuo vya kati kama Ifakara, CBE. IFM n.k
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.