Hayajui majukumu yake kwa Mme huyo ndio maana anakuambia ananyanyaswa, unajua mwanamke asipoyajua majukumu yake katika ndoa hawezi pata upendo wa Mme naakikosa upendo anahisi ananyanyaswa ingali yeye hatimizi majukumu yake
Sent using Jamii Forums mobile app
Hiyo yote inawezekana inategemea tu na mamzi unayekutana nae yuko vipi, anamvuto wawew kuwa nahamu nae
Sent from my TECNO-J7 using JamiiForums mobile app
Kitu wanawake wanakosea, unakuta dem anatoka aliko umbali kilometa zaidi hata Kama nikaribu ukifika kwa mwanaume mtoto wakike ingia wash room safisha sehemu zako vizuri, hamna kitu mwanaume tunapenda Kama usafi, mtakuwa mnalalamika hamfikishwi kileleni akati nyie ndio sababu hasa
Sent from my...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.