Pole sana kwa tatizo lako but kuwa makini sana katika mchakato wa kutatua tatizo lako.tambua kuwa kuna utapeli so usijisahau. I belive tatizo lako ni la kawaida sana nikimaanisha linasovika.Kuwa na iman MUNGU NI MWEMA ukimshirikisha katika maamuzi naamini atatenda jambo juu uzazi wako.
Udsm ni zamani wazee ukweli utabakia,usidanganyike na jina eti vyuo vingine ni vya kata! Nyie malizeni chuo mje tuwafanyie registration vijiweni .komaeni udsm ni kama vyuo vingine tu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.