Recent content by charles ndagulla

  1. C

    NHC: Tunaanza mradi mkubwa ujenzi wa nyumba Chato, karibuni mjipatie viwanja

    Jamani kwani Chato ni Arusha?,kwa nini mnataka kulinganisha usiku na mchana?,mnataka viwanja vya Chato viuzwe kwa bei ya viwanja vilivyoko Mbezi?
  2. C

    Mapambio ya Pascal Mayalla

    Mnazungumzia njaa gani?,ya tumbo au ya kichwa?
  3. C

    Msaada wa nauli: Nimeitwa kwenye usail Bodi ya Kahawa Tanzania(TCB), Moshi-Kilimanjaro

    Mnakumbuka hili bandiko lililetwa hapa mwaka jana?,au ni jingine maana naona kama halina tofauti sana na hili
  4. C

    10 kortini kwa wizi wa Sh59.9 milioni za CRDB

    Kwenye hati ya mashitaka kuna majina ya washitakiwa na anwani zao hivyo mwandishi anatakiwa aangalie mwisho wa charge Sheet inataja majina,umri,kabila,dini,kazi na eneo unalokaaa. Naamini Mwasongwe na Swai walioshitakiwa kwa kosa la kushindwa kuzuia wizi ama kushindwa kuzuia kosa lisitendeleke...
  5. C

    Nyumba ya Mengi hapa Machame sasa inamilikwa na wifi yetu

    Rosemarie umeandika utumbo mtupu,unataka kuwarejesha watu enzi za ujima,ni wachagga wangapi wameona nje ya uchagani kwa maana wameoa watu ambao si wa kabila lao?,iweje kwa menig iwe nongwa? Hiyo Nyumba ya Jack inawahusu nini wale watoto wakubwa wa mengi au na wewe ni limbukeni hujui chochote...
  6. C

    Mada moto: Mafuriko Jangwani, nini kingefanyika au nini kifanyike sasa?

    Habari ya Yanga weka pembeni kabisa Mangi,zungumzia waliojenga kwenye mkondo wa maji,hivi huoni hilo jengo liko juu?,au macho yako hayaoni vizuri?,usijaribu kutuvuruga na Timu yetu,hiyo ni timu ya wananchi siyo timu ya Mo(mtu mmoja)
  7. C

    Nakushukuru BABA Askofu kwa majibu yako mazuri,lakini bado nina maswali.

    Mengi amekuwa mhimili mkubwa sana kwa KKKT hasa huku Kaskazini,amesaidia ujenzi wa makanisa leo unataka Baba Askofu amseme vibaya?,acheni hizo
  8. C

    Maofisa NIDA mikononi mwa Takukuru Moshi

    TAASISI ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa(Takukuru)mkoani Kilimanjaro,inawashikilia Maofisa wa Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa(NIDA) wakituhumiwa kushirikiana na matapeli wanaowaumiza wananchi kwa kuwauzia vitambulisho hivyo ambavyo kwa kawaida vinapaswa kutolewa bure. Kwenye mtandao huo wa...
  9. C

    Jaji mkuu, ugomvi na wanahabari wa nini?

    Huko tuendako si kuzuri,nahisi Giza Nene mbele ya safari maana tamko ama zuio la Jaji Matogolo kwamba waandishi waende mahakamani kama wasikiliizaji wengine na wasinukuu chochote ni kujaribu kuturejesha enzi ya ujima
  10. C

    Serikali: Kanuni mpya za ajili ya maduka ya kubadilisha fedha za kigeni zaandaliwa

    Yajayo yanafurahisha,naamini wote tuko tayari,wale ambao walizoea kuficha pesa zao chafu kwa mgongo wa hayo maduka mwisho wa enzi ndo huo,wote sasa tunaisoma namba
  11. C

    Maduka ya kubadirisha fedha yanafungwa muda huu Moshi

    Huko Dodoma Waziri wa fedha Dk.Philip Mpango leo amezungumza na waandishi wa habari na amesema moja ya sababu za ukaguzi kwenye maduka hayo ni pamoja na kubainika kuwa maduka hayo yanadhoofisha shilingi na mambo mengine ambayo yalianza kuathiri usalama wa nchi. Hiyo ndo kauli ya serikali...
  12. C

    Maduka ya kubadirisha fedha yanafungwa muda huu Moshi

    Hapo Moshi mambo ni moto,maduka ya kubadirisha fedha za kigeni yanafungwa muda huu,watu wanakimbizana huku na kule wasijue kinachoendelea. Nitaendelea kuwajuza kinachoendelea
  13. C

    Mh.Makonda umejikwaa kidogo kumshambulia Pierre!

    Jamani mwacheni Pierre apige pesa,anatofauti gani na Joti anayevaa magauni na kuburudisha watu?
Back
Top Bottom