Recent content by Charles avb

  1. Charles avb

    JamiiForums Tanzania Uzi maalumu wa kupeana connection mbalimbali za biashara

    Funguka kidogo mdau kazi gani na je ni investment ya bei gani inahitajika?
  2. Charles avb

    JamiiForums Tanzania Wadau nauza kiwanda cha Tofali Kigamboni

    Kiwanda cha Tofali kinauzwa Kigamboni Price 35 Million Payment method cash or installment Call 0692 275 216 Whatsapp Kiwanda kipo mtaa wa Muhimbili primary school Kigamboni mazingira eneo limegusa Barabara Ukubwa wa plot SQm 2000 Facilities zilizopo umeme three phase [emoji736] maji ya...
  3. Charles avb

    JamiiForums Tanzania Wadau naomba kushea experience yangu ndogo kwenye Biashara ya kuuza tofali

    Kwanza kabisa fanya research ya Location especially kwenye maeneo yananayo kuwa kwa kasi hasa ya makazi na viwanda yenye miundombinu rafiki kwa aina ya bishara husika. Ni vyema ukipata eneo kuanzia nusu heka sqm 2000 ama zaidi na liwe tambarare Pili ni vyema ukatafiti upatikanaji wa materials...
  4. Charles avb

    JamiiForums Tanzania Nitumie nini makovu yaweze kuisha?

    Sorry ni makovu ya ajali or makovu ya pimples?
  5. Charles avb

    JamiiForums Tanzania Wamachinga wauza Juice Karume Ilala

    Jamaa yupo karume gate la TBL [emoji1787]
  6. Charles avb

    JamiiForums Tanzania Aibu yako umasikini wako

    Degree ya Toursm ipo kabatini tu na sidhani kama nitakuja kuomba kazi tena. Nilianza kama dalali wa Viwnja na mashamba baada ya kuona ajira imekuwa ngumu kupatikana lakini nilikuwa nikaimini ipo siku nitafanikiwa. Nilikutana na Kijana mwenzangu anaitwa Jeff yeye ana experience na biashara ya...
  7. Charles avb

    JamiiForums Tanzania Ufafanuzi na Mchanganuo Kuhusu Biashara ya Vipodozi na Urembo

    Ur welcome [emoji1317]
  8. Charles avb

    JamiiForums Tanzania Ufafanuzi na Mchanganuo Kuhusu Biashara ya Vipodozi na Urembo

    Kuanzia Milion 3 maximum
  9. Charles avb

    JamiiForums Tanzania Ufafanuzi na Mchanganuo Kuhusu Biashara ya Vipodozi na Urembo

    Vigezo ni Leseni Tin number Kibali cha TFDA Mtaji inategemea na layout ya Duka lako unataka lionekane vipi Maximum ukiwa na Milion 5 But hata ukiwa na Milion 3 kwa kuanzia sio mbaya.
  10. Charles avb

    JamiiForums Tanzania Unatumia unyunyu gani kwa sasa?

    Polo Sports
  11. Charles avb

    JamiiForums Tanzania Naomba connection na Land Saveyor alie sajiliwa na bodi ya masaveyor

    Hello! Kindly please [emoji1317] naomba kama mtu ana connection ya Land Saveyour aliesajiliwa na bodi ya masaveyor anisaidie mawasiliano yake. My phone number 0692275216 Email:Charleswilsonavn@gmail.com
  12. Charles avb

    JamiiForums Tanzania Nauza kiwanja jirani na Azam Factory Mwandege

    Nauza Kiwanja kilichopimwa Square miter 296 Jirani na Azam Factory Mwandege. Kiwanja kipo katika mazingira tulivu umeme upo umbali wa mita 16 tu. Maji masafi unavuta kwa jirani mita 25 tu Kiwanja kipo km 1 kutoka Azam factory barabara ya kilwa road Kina Docments zote. Bei: Tsh 6,500,000 tu...
  13. Charles avb

    JamiiForums Tanzania Nina milioni 20. Nahitaji kufanya biashara ya spare za pikipiki kwa jumla na rejareja

    Yeah ila. Ukishakuwa mzoefu unafanya research unakuwa unajua.
Back
Top Bottom