Recent content by chapashoka

  1. chapashoka

    Kilimo cha Tangawizi - Masoko, Mbinu na Ushauri Toka kwa Wadau

    Sasa sijui hizo taarifa za ugumu wa soko ni za kweli au siyo kweli ,je soko lake kuu ni wapi? Mfano mtu aliyelima kigoma soko analipata wapi?
  2. chapashoka

    Kilimo cha Tangawizi - Masoko, Mbinu na Ushauri Toka kwa Wadau

    Wapendwa, mbona watu wanaogopa Kulima hili zao, wanadai ukivuna soko lake ni changamoto sana, maana kwamba kupata sehemu ya kuuza hiyo tangawizi ni shughuli nzito.
  3. chapashoka

    Kuhusu vyeti

    Asante sana mkuu.Ubarikiwe.
  4. chapashoka

    Kuhusu vyeti

    Je huko penyewe ,naweza kutumia result slip?wakapokelewa au na penyewe lazima upeleke cheti chenyewe?
  5. chapashoka

    Kuhusu vyeti

    Pia nilihitaji ikiwezekana zikitoka nafasi za jeshi kwa kujitolea mmoja nimuombee maana kuna mmoja anatamani kwenda huko
  6. chapashoka

    Kuhusu vyeti

    Nilitaka kuwaombea certificate ya maabara na phamarcy
  7. chapashoka

    Kuhusu vyeti

    Asanteni.
  8. chapashoka

    Kuhusu vyeti

    Ndugu habari zenu, naomba anayefahamu anisaidie ,Nina wadogo zangu wawili mapacha walimaliza kidato cha nne mwaka 2015 ,kulingana na hali yangu ya kipato kuwa ngumu sikuweza kumaliza kulipa ada yao ,hivo wanadaiwa deni kubwa hapo shuleni na hadi sasa hawana vyeti vyao vilibaki hadi...
  9. chapashoka

    Ofaaa bab kubwaaa ya magari kutoka Japan

    Nahitaji Toyota hillux 2600cc au landcruiser Prado 2500cc ya mwaka 1998
  10. chapashoka

    Nafasi za masomo katika chuo cha maji

    Generally naomba kufahamu kama wanaweza kupata hata course za Afya kwa diploma? Msaada wenu tafadhali
  11. chapashoka

    Nafasi za masomo katika chuo cha maji

    Na mwingine ana division 3 ya point 25 Civics D History D Geography D Kiswahili C English C Physics D Chemistry D Biology C Math F. Je na huyu anaweza kupata course gani ya diploma?
  12. chapashoka

    Nafasi za masomo katika chuo cha maji

    Nina wadogo zangu mapacha wanamatokeo haya wa kwanza division 3 ya 24, Civics D History D Geography D Kiswahili C English C Physics D Chemistry C Biology D Mathematics F je huyu ataweza kupata course gani ya diploma?
  13. chapashoka

    NMB: Haya makato mapya!

    Leo nimefuatilia gharama za kutoa pesa kama una Nmb bonus account naambiwa ni sh,4060 maana hii card huwez kutoa pesa kwa ATM ,nikaamua kutoa vijisent vyangu bora nikatunze nyumbani liwalo na liwe
  14. chapashoka

    Ijue Botswana japo kidogo tu

    Kuna mmoja kasema Daktari ukiwa specialist ndo rahisi kupata kazi ,vipi kuhusu MD na malipo yao yakoje? Na kazi unapataje?
  15. chapashoka

    Kilimo cha mpunga Mbeya

    Asante kwa maelezo
Back
Top Bottom