Recent content by chapangombe

  1. chapangombe

    Gerson Msigwa azomewe siku ya Mwananchi

    Aisee wewe ni akili kubwa hata Mimi nashangaa ilikuwa fulsa hiyo
  2. chapangombe

    TANGA: Rais Samia atoa TZS4bn kwaajili ya ujenzi wa Sports Academy

    Hii tabia mbaya sana akikopa deni la Taifa ,akitoa fedha ni pesa ya mama ,tunapotea huu utamaduni sio kbsa urais ni taasisi
  3. chapangombe

    Rais Samia angekuwa Raia na amezaliwa Marekani angelazimishwa Kugombea Urais na angepita na kushinda kwa kura nyingi sana kuwahi kutokea

    Aiseee huyu bwana ,think tank yake anaijua mwenyewe ,sijui ni mchambuzi wa siasa ,kada,chawa
  4. chapangombe

    Naomba kufahamishwa.

    Waite Waite waweke mipaka
  5. chapangombe

    Kesi ya usababisha hasara kwenye kampuni inaangukia kwenye kosa gani kisheria?

    Hapo kosa ni negligence kwenye tort huko ,na ni madai sio jinai
  6. chapangombe

    Kesi ya usababisha hasara kwenye kampuni inaangukia kwenye kosa gani kisheria?

    Hapo sio sawa economic and organise crime Act IPO very clear na uataribu wa mashitaka pia uliotumika haupo sawa
  7. chapangombe

    Halmashauri ya Temeke wamemnyanyasa muhasibu wangu ofisini wangu kisa leseni, nataka kuchukua hatua, nifanyeje?

    Mkuu kaombe kuonana na mkuu wake wa idara ya Biashara au mkurugenzi peleka malalamiko
  8. chapangombe

    Msaada kuhusu kupima DNA

    N Nicheki bobo
  9. chapangombe

    Sheria ya kusoma shule kuu ya sheria yaondolewa

    Mkuu sio kweli ,mabadiliko ya sheria hiyo maana yake ni kuwa hapo awali ilikuwa ni lazima mtu yoyote aliyesoma LL.B ili ni lazima apite law school ili aweze kuajiliwa serikalini Kwa maana nyingine Kwa mtu aliyesoma LL.B tu ilikuwa haiana maana kwako Kwa habari ya kupata ajira popote Tanzania...
Back
Top Bottom