RIP Ngoyayi Lowasa.
NB: Katika watu ambao kwa msiba huu atafuatilia sana udaku, video na maneno mitandaoni kuhusu msiba huu kabla ya kuamua namna ya ushiriki wake, basi namba moja ni Mkwere wa pande za Msoga!!!@#$^^*&%%$#=995&^$×@#£^.
Mimi nimeamua kuandikisha mali zangu jointly kwa watoto wangu wa ndani ya ndoa, baada ya mchepuko kunifanyia tofauti na makubaliano akakazaa. My wife nae namjengea yake.
Ila huyo mtoto wake najua hana kosa, naye najipanga kumjengea ingalau kajumba ambako nitakuwa joint owner.
Yawezekana...
Jamani naomba kuuliza, hivi katika bajeti ya Wizara ya Fedha, kuna kodi imeongezwa kwenye pombe/ bia etc? Maana leo kuna bar wamepandisha bei, wengine hapana. Nini hasa katika hili?
Please Serikali hii kitu ndio ondoa stress, iacheni kwa bei affordable, la sivyo tutakufa mapema muishie kutawala...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.