kasome maana ya "tapeli"katika penal code then yeyote utakayeona anamatendo sawa na yalivyomaanishwa kwenye tafsiri ya tapeli basi ripoti.
Kwa unavyohoji ni sawa na kuona mtu amekatwa mkono,kiganja kimetenganishwa alafu uhoji kwanini tuseme amekatwa mkono wakat doctor hajathibitisha kama mkono...
Sasa hana hela na anataka kufanya biashara.Nadhani kwa upande wangu serikali ipo right na hii itaepusha changamoto ya mlolongo wa kufatilia halmashauri
bro nashauri,kuanzia sasa hesabu kuwa kazi za muda mfupi ndo kazi zako then anza kuishi utaona zinakuwa nyingi na unafanya maendeleo,ukisema unajishikiza mafanikio nayo yanajishikiza kama unavyofanya
Naqambia hili, siku kila mmoja akiweza kujimudu kiuchumi basi sisiemu watatoka madarakani.Kutufanya masikini ndio mbinu kubwa wanaitumia kubaki madarakani,yani wanafanya tuwe masikini ili tujisubmit kwao,tupige magoti tukiomba kheri...
Basi niwaambie,tusisubili watoke ndio tuwe matajiri,tuwatoe...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.